Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi hizo hata boyfriend sijui jamani sio utaniBoy friend wako alikua anasoma shule gani?
Unatafuta mini sasa karibu najukuu .Hii habari ni zilipendwaUlianza lini kumjua boyfriend jaman?
Umenikumbusha Miaka 1985-87.Wakati huo niko F.5,PCM! Father Kalumuna(Headmaster),Mwaipopo(Physics),Kaihula(Siasa),Mama Shija(Chemistry),Mrs.Kilembe(Adv.Maths)!nilisoma hapo miaka hiyo. Hii ilikuwa shule ya aina yake. Tulikuwa tunakula viazi maganda na mchuzi wa nyama. Halafu unakwenda summit kupiga shule. Ukitoka hapo ngoma Faya au Palm Beach unalamba Riziki kwa Mungu, Dau la Mnyonge, Simba Luwala, Kolombia,n.k. Konda akileta zake anachapwa. Walikuwepo kina Shetani, No Mbungi, DickPapa, hata Ndama Mutoto ya Ngombe maticha wetu Father K, Busianya,Haonga,Kaihula(sasa Mb Cdm), Savimbi,n.k Those old gooddays
Baba ako aitwa nani aweza kuwa MwananguNashukuru baba angu hakuharibika japo nae alikuwa kweny kisanga cha kutupwa mkoani lol, alivokuwa anasimulia nkawaa nadhan utan kumbe n kweli duuuuuuh. So sad
Tumesoma woteSisi wengine tulikuja kujiunga baada ya kufanywa kuwa Shule ya mchanganyiko na ikiwa “A” level tu yaani wavulana na wasichana ambapo zamani kabla ya huo uhamisho wa Babeli ilikuwa ya wavulana tu!
Mimi ilikuwa shule ya ndoto yangu , nilikuwa napenda wanavyovaa viatu vyeusi na soksi nyeusi ilikuwa inapendeza sana na wasichana walivyokuwa wanavaa zile skeets light grey kitambaa fulani amazing
Niliipenda sana Shule ile!