This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Kuna wale wabunge 19 ambao hawana chama kule bungeni maarufu km COVID 19 sijui watakuwa na hali gani muda huu.
Ikumbukwe kwamba wabunge Hawa wapo bungeni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Ndugai huyu huyu kwa nguvu za mwendazake ndiyo aliwaingiza bungeni kimchongo.
Je spika ajae ataendelea kuwatambua? Na ikiwa sheria zitafuatwa na kuondolewa bungeni,je,watarejesha mishahara,posho na masurufu yote waliyolipwa?
Maandiko matakatifu ya biblia yanasema ole wake yeye amtegemeaye mwanadamu.
Ikumbukwe kwamba wabunge Hawa wapo bungeni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Ndugai huyu huyu kwa nguvu za mwendazake ndiyo aliwaingiza bungeni kimchongo.
Je spika ajae ataendelea kuwatambua? Na ikiwa sheria zitafuatwa na kuondolewa bungeni,je,watarejesha mishahara,posho na masurufu yote waliyolipwa?
Maandiko matakatifu ya biblia yanasema ole wake yeye amtegemeaye mwanadamu.