mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,060
- 628
Ni mara yangu ya kwanza Nakuja tanga mchana huu.Naomba mnisaidie maeneo ambayo sipaswi kukosa kutembelea nikiwa Tanga nijienjoy.
Ni mara yangu ya kwanza Nakuja tanga mchana huu.Naomba mnisaidie maeneo ambayo sipaswi kukosa kutembelea nikiwa Tanga nijienjoy.
Tembelea Kwanjeka
Kwanjeka kunapatikana nn mzee
Uwii nafika hapoNenda blue room kesho ukapate breakfast utaikumbuka maishani Kama in mpenzi wa kabab na nylon bhajia
wewe pita kisha uje kutuambia utamu na raha zake ....
Tembelea Kwanjeka
Ni mara yangu ya kwanza Nakuja tanga mchana huu.Naomba mnisaidie maeneo ambayo sipaswi kukosa kutembelea nikiwa Tanga nijienjoy.
Ni mara yangu ya kwanza Nakuja tanga mchana huu.Naomba mnisaidie maeneo ambayo sipaswi kukosa kutembelea nikiwa Tanga nijienjoy.
Nenda blue room kesho ukapate breakfast utaikumbuka maishani Kama in mpenzi wa kabab na nylon bhajia
Mkoa wa Tanga una wilaya zake,kuna wilaya ziko pwani ma kuna wilaya ziko bara,Hawa wa maeneo ya bara,ndio wanaoshindwa kutofautisha kati ya L name R,kama vile Wilaya ya Lushoto,Muheza,Korogwe ,Handeni,Kilindi ,