Wale wa Open University of Tanzania Utaratibu wa Uombaji Ukoje?

ChamaDola

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
3,432
2,804
Wakuu,
Utaratibu wa kutuma maombi ukoje?
Na kiwango cha pesa kwa ada ya maombi ya nafasi ikoje?
Natanguliza shukrani!
 
Wakuu,
Utaratibu wa kutuma maombi ukoje?
Na kiwango cha pesa kwa ada ya maombi ya nafasi ikoje?
Natanguliza shukrani!

Ok, OUT kwa sasa wamefuta ada ya maombi! NI BUREE yaani ni miguu yako tu!! Unakwenda na vyeti vyako halisi (original) kwenye kituo karibu na ulipo! OUT wana vituo kwenye kila mkoa Tanzania hii na hapo watakufanyia online application fastaaa....!! Kama dakika thelathini tu ushamaliza kila kitu unasubiri selection.
 
Ok, OUT kwa sasa wamefuta ada ya maombi! NI BUREE yaani ni miguu yako tu!! Unakwenda na vyeti vyako halisi (original) kwenye kituo karibu na ulipo! OUT wana vituo kwenye kila mkoa Tanzania hii na hapo watakufanyia online application fastaaa....!! Kama dakika thelathini tu ushamaliza kila kitu unasubiri selection.
Mimi kwa sasa nipo Zanzibar. Vipi, huku wapo?
 
Nimefika Leo open kufanya admission ni bure,ila unatakiwa kwenda na barua ya nacte kuthibitisha vyeti vyako,huko nacte ndio wanachaji elfu kumi ili kuhakiki vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi degree ya OUT inaheshimika kama degree ya udsm, mzumbe, saut, tumaini nk?
Vyema kabisa. Kinachowachanganya wengi ni namna ya utoaji elimu kwa njia ya masafa kwa sababu inaonekana kama ni njia ngeni hapa nchini!!

Ila si ngeni, kwa wale wakongwe watakumbuka walimu wa UPE walisoma kwa njia ya redio kila Jumamosi. Na mwisho wa siku walikuwa walimu bora kabisa

Elimu masafa ni njia salama, sahihi na inaheshimika duniani kote kwa kutoa elimu bora.

Thus why OUT imesajiliwa na kutambulika na taasisi zote za kielimu lakini zaidi ni chuo cha serikali kilichoanzishwa na bunge kwa sheria rasmi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefika Leo open kufanya admission ni bure,ila unatakiwa kwenda na barua ya nacte kuthibitisha vyeti vyako,huko nacte ndio wanachaji elfu kumi ili kuhakiki vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo barua ya nacte naipata wapi? Au mpaka niende dar tena ndo napata naomba ufafanuzi hapa
Nimefika Leo open kufanya admission ni bure,ila unatakiwa kwenda na barua ya nacte kuthibitisha vyeti vyako,huko nacte ndio wanachaji elfu kumi ili kuhakiki vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom