MEING'ATI
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,212
- 1,009
ZoteUnapata Chanel gani local?
ZoteUnapata Chanel gani local?
Mimi fundi hayo unayoyaongea nayafahamu sana ila huwa tunamshauri mteja kulingana na anavyotokaJielimishe rafiki yangu sio kwamba tunaiba channel wanazitoa bure wao wenyewe hizo frequency na wakibadilisha wanatoa taarifa. Nazungumzia Itv Eatv clouds startv tbc1 hata wasafi tv.
Unachotakiwa kanunue dish. Fundi kuseti dish hela ndogo sana kama lilikuwa linafanyakazi.
Ukitaka kujiongeza kama sisi finder kali sana zipo msimbazi hata kama umeme hamna we unaset dish.
Sasa Channel kama HBO yenye movie bandika bandua ndio zinataka reciever makini.Bei ya kawaida.
Mimi sio fundi lakini baada ya kutumia madish mda mrefu sasa nafunga mwenyewe au naomba msaada wa fundi sababu wao frequency ni rahisi kupata wana marifiki wengi na wamaishi wengine kwa kuset madish wanawajibika sana.
Ww uko wapi hilo tatizo linatatulikaHiyo reciever n ilikuwa nayo ina Fungua local zote na CNN BbC alajazeera HBO na NHK
ila sony haifungui APL na Doscovery
Iliharibika baada ya matumizi ya miaka 2 hivi ikaamza kuji restart kila wakati. Haina power on switch unawashia na kuzimia ukutani.
Mtafute akuongezee vichwa vingine utapata kina itv n.kLocal sizipati kwa sababu dishi nimeelekeza position ya 68.5e ambako kuna zile za Discovery channels na HBO movies na za kihindi kibao!
Kuna min na Kombo hio yako ni KomboYaa unaweza kuwa sahihi kwa sababu miaka michache nyuma walijiita Freesat na Sasa wamebadili Brand wanajiita Gt Media. Ila nilichonacho mimi kina power ON/OFF
Njoo PmClouds na wasafi ni FTA kweli? Masafa yao yakojee
Inategemea mahali ulipoUkitumia antenna ya kawaida unapata channels zipi za ndani??
Niko Arusha mkuuInategemea mahali ulipo
ComboKuna min na Kombo hio yako ni Kombo
Niko Arusha mkuu
Combo
Niko Majohe uko wapiWw uko wapi hilo tatizo linatatulika
Niko Majohe uko wapi
Du hallo ni maeneo ya Gongolamboto pale kampala University unaenda mbele kidogo we uko mjini wapi ? Au nimipeleke wapi wakirekebisheMajohe ndio wapi mkuu?
Kwa hiyo mkuu ukiwa na dish kama la azam na kingamuzi let say chochote ambacho unaweza kukiupgrade by OTA Nawezapata hizo chanel???Local sizipati kwa sababu dishi nimeelekeza position ya 68.5e ambako kuna zile za Discovery channels na HBO movies na za kihindi kibao!
Mie nazipata kwa dishi la 8ft c-band.Kwa hiyo mkuu ukiwa na dish kama la azam na kingamuzi let say chochote ambacho unaweza kukiupgrade by OTA Nawezapata hizo chanel???
Lipo sema ni wachache waliopo humoHamna hio kitu
Kuzipata hicho channels unatakiwa kuwa na dish kuanzia futi 6 na receiver ya FTA lakini nzuri zaidi ni ile inayo support keys kama biss, powervu na dreKwa hiyo mkuu ukiwa na dish kama la azam na kingamuzi let say chochote ambacho unaweza kukiupgrade by OTA Nawezapata hizo chanel???
Mkuu naomba frqnce za hii kitu,nina kisimbuzi cha zuku hope itafanya kaziKuzipata hicho channels unatakiwa kuwa na dish kuanzia futi 6 na receiver ya FTA lakini nzuri zaidi ni ile inayo support keys kama biss, powervu na dre