ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,228
- 88,583
Hata sijaelewa swali lako mkuu.Yap,kwanini usifanye mpango mtu akisema anataka local una save mwenyewe iluli shughuli ya fundi isiwe ngumu wengi sio wataalamu sana,hebu fikili wazo langu iwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sijaelewa swali lako mkuu.Yap,kwanini usifanye mpango mtu akisema anataka local una save mwenyewe iluli shughuli ya fundi isiwe ngumu wengi sio wataalamu sana,hebu fikili wazo langu iwaje?
Namtumia fundi, anaagiza decoders na anafunga(set). Ukihitaji utapata contacts zake.Mkuu kwa dar inapatikana wapi?
Gharama tsh jumla jumla?Namtumia fundi, anaagiza decoders na anafunga(set). Ukihitaji utapata contacts zake.
Mwenye kujua wapi kunapatikana Dish la Ft10 iwe jipya ana Used
Hakuna unaongeza nwenyewe kwenye ft6
Asante sanaHongera sana kaka, hakika umeeleza vizuri sana
Unaongeza kivipi mkuuHakuna unaongeza nwenyewe kwenye ft6
mwenye frequency za ting msaada plz
Ahaaa vzrstartimes
Ting ina upande wa radio?11596
30000
H
Hiyo ni dish
Kwa sasa zinafunguka chache sasa, nyingi ni scrambled11596
30000
H
Hiyo ni dish
Kuna radio 3Ting ina upande wa radio?
Ohoo kumbeKuna radio 3