fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 668
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii picha inatafasiri nini nyuma yake?
Au inamaanisha nini?
Hiyo ni farasi aliye mbeba mtume Muhammad (SAW) kwenda peponi kupokea kuraan tukufu. Farasi hivyo anaitwa BRACO.
Huyo ni Krishna mungu wa kihindi
Ni farasi wa mtume (S.A.W) kutoka peponi anaitwa al -buraq (lightening)....alimbeba mtume katika safar zake za isra na miraj....
Ushahidi katika Qur-an surat al isra..
Ndo alikuwa na kichwa cha mwanamke wa kihindi????!!??