Wale wa kuchapia Tukutane Hapa!

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,663
7,737
Kuna wakati Mtu unaweza kuchapia mbele ya kadamnasi mpaka ukajishtukia hasa ukizingatia watu wametega masikio wote wanakusikiliza wewe kisha likakutoka neno hata usijue kama limetoka mdomoni kwako...Hatari sana! tumeshudia mengi sana mda mwingine unaweza kujikuta unatukana bila kujua....Mwana J.f weka neno lako umewhi kuchapia.
Kuna siku niltaka kuhadithia kuhusu kile kipindi cha Futuhi,sasa sijui swaumu ilikuwa imebana nikajikuta natamka neno Futuhi ni FUTARI ,Mpaka leo kuna jamaa ananikera Akiniona ananiita Futuhi sijui nimfanyeje?
 
Kuna wakati Mtu unaweza kuchapia mbele ya kadamnasi mpaka ukajishtukia hasa ukizingatia watu wametega masikio wote wanakusikiliza wewe kisha likakutoka neno hata usijue kama limetoka mdomoni kwako...Hatari sana! tumeshudia mengi sana mda mwingine unaweza kujikuta unatukana bila kujua....Mwana J.f weka neno lako umewhi kuchapia.
Kuna siku niltaka kuhadithia kuhusu kile kipindi cha Futuhi,sasa sijui swaumu ilikuwa imebana nikajikuta natamka neno Futuhi ni FUTARI ,Mpaka leo kuna jamaa ananikera Akiniona ananiita Futuhi sijui nimfanyeje?
polee sana
 
Back
Top Bottom