Ushi Msaki yupi/wapi
mbona sijakupata
Wale vijana wa MWAMPAJA ,wale wa SCANDIA,PANGANI,NYANZA natumaini mmejaa hapa JF
Mnamkumbuka MGINA-Physics,KAYENGA-Chemistry,URIO-Maths kwa Alevel na kina KK(Kaselenge),Mainoya,Malogo,Mlata na wengine kibao
umenikumbusha mbali sana mkuu Belo,nilianzia Scandia store form five,form six nilikuwa nyanza,namkumbuka Msengi,Mgina,Urio Festo,Mlata.
Sisi wa Mzee Msaki msitusahau!!
Hee he vijana mlipita lini pale Kibaha, mwanikumbusha nyoka wa biology lab!!
Haaa haaa na Msaidizi wake Luoga . . . .
Wakati wa mahafali mkiwaalika watoto toka kilakala au vituka na wakati wa kucheza blues au HOLIDAY - BY MADDONA, Msaki alikuwa hataki Zero Distance. Aliwakuta vijana akawaambai HAKUNA KUPENDANA PENDANA HAPA, MTAKWENDA KWENU . . . LOL
Hahahaha mzee umenikumbusha mbali sana, walikuja Ruvu kwenye Disco nakumbuka vijana waliharibu ile mbaya....Kibaha ilikuwa babu kubwa, EK na zile green koti..... evening class na jamaa wa A level bila kusahau Mwanalugali week ends..
Nilikuwa Kibaha A level nikitokeaa Tosamaganga.
Kwa ulinganifu Chakula pale kibaha kilikuwa Kibaya sana.Not Fit for human consumption
Naongelea miaka ya 80.
Hiyo mikate na siagi nadhani ni early 70.
Nilikwenda pale last time 2000 nikakuta yule mwalimu wa Typing Mr Mainoya ndiye Second Master na Mr Luhaga ni mwalimu wa kawaida. wakati Ukuta.
Mwalimu Ramadhani alikuwepo lakini BBall team ilikuwa nyanya kabisa.
Chai saa kumi?
Haikuwepo menu ya wali nyama.