Mie napata sweet spirit taratiibu.
Usimuoga utaungama kjn...Namuogopa Mungu maswala ya kutaste ladha tofauti cwez
Unatafuta nn humu sasa usije kuleqa harufuMi kinywaji changu ni maji na juice tena natural sio za azam!! Hayo makonyagi yenu bakini nayo!! Yani mtu anameza kinywaji mpaka anakunja uso what the hell!!
Hii thread mpaka namaliza kusoma comments nimeshalewa tayari duuuuuuuIla hiyo ni fekelo
Sh ngap hii brother?
Hali mbaya tunataka kulewa fasta hahahahhaamkuu unafikiri hatupendi vitu vizuri................
Gongo konyagi na konyagi ni za bongoHebu kwa dhati ya mioyo yetu tukiweka unafiki kando! Ni sahihi kweli kusifia vya wenzetu huku gongo yetu tukiipotezea? Kwakuwa najua kwa hakika ladha yetu ya kwanza kabisa ilikuwa machozi ya simba kabla hatujakuwa na uwezo wa kununua hizi zilizopanda ndege
Hivi Hennesy ni sprit or whisky?Kitu Hennessy
Jaribu kununua uonje achana na hayo madude machungu kama quinine