Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

Kwahiyo Bado unabisha, mlisema ooh ikifika machi aseno watarudi kwenye nafasi yao, machi hiyooo inayeya
Bado Arsenal cmpi nafasi mkuu. Ana mechi ngumu kuliko City na ukiangakia pengo la point c kubwa sana kikubwa kinachonopa iman kuwa hatochukua ana game na city
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom