Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,095
Tuchel kashaliwa kichwa1. ManCity
2. Spurs
3. Liverpool
4. Chelsea
NB:
Arteta atafukuzwa Arsenal
Tuchel kashaliwa kichwa1. ManCity
2. Spurs
3. Liverpool
4. Chelsea
NB:
Arteta atafukuzwa Arsenal
Arteta vipi?Tuchel kashaliwa kichwa
Ehee Livapulu vipi?Kwa kweli amepanga kiherufi..
Ukiona mtu anaanzia na Asenali ujue ameenda Chaka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Bado naendelea kubishaArsenal
Man City
Liverpool
Spurs
Kuna watu watabisha.
Kwahiyo Bado unabisha, mlisema ooh ikifika machi aseno watarudi kwenye nafasi yao, machi hiyooo inayeya1: City
2: Arsenal
3: Man Utd
4: liverpool
Mtoe Liverpool hapo1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Aisee kuna watu bado wanabisha?
Arsenal ndoo,
Haland Kiatu
Hizo nafasi zingine jipangien wenyewe
Wewe mwenye upepo upo nafasi ya ngapiArsenal hana upepo huo
Msiba upo nyumbani kwako jumapiliKwa kweli amepanga kiherufi..
Ukiona mtu anaanzia na Asenali ujue ameenda Chaka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Bado Arsenal cmpi nafasi mkuu. Ana mechi ngumu kuliko City na ukiangakia pengo la point c kubwa sana kikubwa kinachonopa iman kuwa hatochukua ana game na cityKwahiyo Bado unabisha, mlisema ooh ikifika machi aseno watarudi kwenye nafasi yao, machi hiyooo inayeya
Kwahiyo kwa akili yako unahisi City hawezi kufungwa Etihad?Bado Arsenal cmpi nafasi mkuu. Ana mechi ngumu kuliko City na ukiangakia pengo la point c kubwa sana kikubwa kinachonopa iman kuwa hatochukua ana game na city