Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Miaka ya sabini hivi tulikuwa na misemo ya.............................Ndege imetua au bado ......kiwanja ni safi au la hasha..........................kiwanja kina majani au la.................n.k
Wanaokumbuka vizuri misemo hiyo watutonye....................na siku hizi sijui vijana wana misemo ipi................................wanayoifahamu nao watuume sikio....................
Wanaokumbuka vizuri misemo hiyo watutonye....................na siku hizi sijui vijana wana misemo ipi................................wanayoifahamu nao watuume sikio....................