Wale wa burudani kazi kwenu

Mar 12, 2016
72
32

Kundi la muziki la Wapancras linalojumuisha wasanii ndugu, Mecrass na Payus, la Jijini Mwanza, limeachia wimbo mpya uitwao "Nitunzie Siri", wakimshirikisha Abuu Mkali.


Wimbo umetengenezwa pande za Vibe Nation & Quick Sound ikiwa ni mikono ya Producers, Aniwylee na Day Dream. Itafute BINAGI BLOG_BMG hiyo ngoma uisikie utamu wake
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom