Wale wa Apple/iPhone nawasalimu jamani, maisha yanakwendaje uko offline?

IMG_0909.jpg
 
Hizo zilizojipanga hapo hujagundua ni za youtube kiongozi??
Huyo mleta hoja mpuuze tu sikutegemea kama ni mshamba kiasi hicho mbaya zaidi umeambatanisha vielelezo bado haamini anauliza za YouTube na anaona hiyo list ilivyo.
Nimemsikitikia kwa ulimbukeni alonao!
 
Mkuu kuweka VPN kwenye iphone ni sawa na kuweka app yoyote tu, zipo kibao VPN tena za bure kwenye AppStore unless hajui kuhusu VPN ikiwa na maana hata angekuwa na android bado angelala tu maana hajui kuhusu VPN
Sijaongelea hilo mimi.......ishu nasemea option za kuinstall apps kwenye iphone nje ya appstore maana wengi hawakua na access ya appstore sasa wangedownload wapi hio vpn..............sijasema kwamba iphone haiwezi kuinstall VPN mimi nilikazia pale kwenye kuinstall apps bila kua na access ya appstore
 
Si kweli mkuu natumia iphone na niko online fresh tu tangia jana usipende kuropoka pasipo kuwa na uhakika wa jambo husika
Mleta mada nimemdharau sana hana hata uthibitisho wa hoja yake, nilichoona anacho ni ushabiki tu na ulimbukeni tena anacheka utadhani apple users wamekosea kuzimiliki.
 
Ku sideload apps watumiaji wangapi wa ios wanajua? Hasa wa hapa bongo ambao wengi wanabebaga ma iphone kwa ajili ya fashion tu ila ukiwatikisa kidogo hawajui lolote

ss ata hao android users kuna ambao hawajuii piaa
i know sideloads ya ios na android pia
but sion kama ina umuhimu sana kwa mtu asiye na mambo mengi
#utajuahujui
 
Sijaongelea hilo mimi.......ishu nasemea option za kuinstall apps kwenye iphone nje ya appstore maana wengi hawakua na access ya appstore sasa wangedownload wapi hio vpn..............sijasema kwamba iphone haiwezi kuinstall VPN mimi nilikazia pale kwenye kuinstall apps bila kua na access ya appstore
Mimi nimeidownload kwa kutumia wireless internet ya hotspot ya windows 10 ambayo nayo inafanya kazi via vpn, Appstore ilikubali
 
ss ata hao android users kuna ambao hawajuii piaa
i know sideloads ya ios na android pia
but sion kama ina umuhimu sana kwa mtu asiye na mambo mengi
#utajuahujui
Android uside load apps unatafuta nn? App unaidownload tu hata na browser ya kwenye simu na una install....... kitu pekee tu itakachokuuliza ni kwamba tu kama unakubali kuinstall app kutoka unkown source basi ukikubali unaendelea zako simple sana........ios sidhani unaweza okota app tu kwny browser ukainstall
 
Mimi nimeidownload kwa kutumia wireless internet ya hotspot ya windows 10 ambayo nayo inafanya kazi via vpn, Appstore ilikubali
Sasa kwa mtu asie na acces kama yako na hakua na vpn kwenye simu hata appstore hawezi kuingia so hata hio vpn hawezi kuipata
 
Sijaongelea hilo mimi.......ishu nasemea option za kuinstall apps kwenye iphone nje ya appstore maana wengi hawakua na access ya appstore sasa wangedownload wapi hio vpn..............sijasema kwamba iphone haiwezi kuinstall VPN mimi nilikazia pale kwenye kuinstall apps bila kua na access ya appstore

option ya kuinstall app pasi na appstore ipo na najua na naweza kuistall

sikia kila kitu ni akili tuh
naamini mm kitu kimoja kama hujui kitu usikae kubisha anii pasi na kuwa na facts

#nkupe highlight kidogo

google jinsi ya kutumia cydia impactor utaelewa sasa
 
Mkuu huku mbona mambo yapo on fire access zote nazipata toka mzigo uingie mzigoni, kumiliki smartphone jambo la kwanza na kujua mambo zaidi ya yale yanayotumia na watu jambo 2
 
Huyo mleta hoja mpuuze tu sikutegemea kama ni mshamba kiasi hicho mbaya zaidi umeambatanisha vielelezo bado haamini anauliza za YouTube na anaona hiyo list ilivyo.
Nimemsikitikia kwa ulimbukeni alonao!

Kukaririshwa kubaya, nahisi yalikuwa maneno ya kuambiwa na yeye akayaleta kama yalivyo
 
Lakini ndugu hata android ni hivo hivo mpaka uwe na VPN au si kweli? Sema tu kwenye iphone unanunua app.
Hata kama kuimiliki huwezi au hutaki omba aliye nayo aitafute hiyo VPN appstore then ujaribu kui-install uone kama ni kweli inauzwa kuliko ulivyokaririshwa ujinga
 
Back
Top Bottom