Hapa ni Qatari
Huyu Simba ni kama wale wa Serengeti
Hawa Ndege wako kwenye zoo huko Qatari na wanafanana na wanao Patikana Lake Manyara
Fikira finyu hizi haziafanya tusonge mbele. Kuna cha ajabu gani kama kuna wanyama kutoka Tanzania wako katika zoo za nchi za nje , mbona hiki ni kitu cha kawaida na kiko tangu zamani. Hao wanyama wamelipiwa pesa , na Tanzania tunao wengi si kwamba ni wanyama adimu. Haya ni mawazo yaliopitwa , ya wivu na husuda.
tena huyo wa kushoto namjua sana ni wa kwetu huyo
Kwa hiyo unataka kwenda kuchoma kanisa???Kila kitu JK? Tatizo ni Mfumo ambao umesomesha kwa upendeleo
watu ambao si waadilifu, yeyote aliyesomeshwa na MFUMO "K"
hawezi kuwa muadilifu ndio maana rushwa imekithiri kwa sababu
wengi walioko kwenye nafasi mbalimbali serikalini wametokana na
Mfumo "K" Hivyo si waadilifu.
Fikira finyu hizi haziafanya tusonge mbele. Kuna cha ajabu gani kama kuna wanyama kutoka Tanzania wako katika zoo za nchi za nje , mbona hiki ni kitu cha kawaida na kiko tangu zamani. Hao wanyama wamelipiwa pesa , na Tanzania tunao wengi si kwamba ni wanyama adimu. Haya ni mawazo yaliopitwa , ya wivu na husuda.