Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 107
Nimemaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2009, ila kiukweli nilikua napokea mkopo toka HELSB 60%, ilikua ndogo ila ilivuta mpaka miaka mitatu ikaisha. Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi mwaka Vodacom nikafanya kwa mwaka mmoja kabla ya kuingia serikali kuu, kipindi chote hicho nilikua sijaanza kukatwa, miaka ya 2013 hivi nikaenda kupiga masterz kwa mshahara na marupurupu.
Duh, balaa likaanza mkuu wa sasa aliposhika madaraka, kwanza nilipigwa beats, nikaenda mwenyewe kujisalimisha bodi ya mkopo, wakaanza kukata 8%, maisha yalienda, kwan haikuniumiza kichwa sana, baada ya miezi jamaa si akaongeza % ya makato, ikafika 15%, ndugu ile ilinifanya nitoke mchezoni, manake ukizingatia nilikua na makato mengine ya mkopo, niliona kama mwisho wa mwezi ukifika napokea salary slip pekee yake, mshahara hakuna.
Nikapata matarajio baada ya mkuu kusema kuna ongezeko si kaniongezea tsh. 13,000 kiukweli naona kama kakazia vyuma vizuri.
Sasa mkopo wenyewe unaisha 2022, ila tatizo kubwa limeanzia kwenye makato yasiyokuwa na kinga toka loan board.
Nipe expirience yako jinsi ulivyohathirika na mkopo wa chuo, baada ya kukopeshwa kidogo na kukatwa kikubwa.
Chuma kimekazwa vizuri kwakweli.
Duh, balaa likaanza mkuu wa sasa aliposhika madaraka, kwanza nilipigwa beats, nikaenda mwenyewe kujisalimisha bodi ya mkopo, wakaanza kukata 8%, maisha yalienda, kwan haikuniumiza kichwa sana, baada ya miezi jamaa si akaongeza % ya makato, ikafika 15%, ndugu ile ilinifanya nitoke mchezoni, manake ukizingatia nilikua na makato mengine ya mkopo, niliona kama mwisho wa mwezi ukifika napokea salary slip pekee yake, mshahara hakuna.
Nikapata matarajio baada ya mkuu kusema kuna ongezeko si kaniongezea tsh. 13,000 kiukweli naona kama kakazia vyuma vizuri.
Sasa mkopo wenyewe unaisha 2022, ila tatizo kubwa limeanzia kwenye makato yasiyokuwa na kinga toka loan board.
Nipe expirience yako jinsi ulivyohathirika na mkopo wa chuo, baada ya kukopeshwa kidogo na kukatwa kikubwa.
Chuma kimekazwa vizuri kwakweli.