mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 5,609
- 7,379
We ndiyo unajifariji baada ya kuoa mke wa baridi kama panga lililo lala njeWeusi wanajifariji, kitu cheupee rahaa kwenye giza chang'aaaa ukute shape ipo ni fire
Pambana na hali yako
We ndiyo unajifariji baada ya kuoa mke wa baridi kama panga lililo lala njeWeusi wanajifariji, kitu cheupee rahaa kwenye giza chang'aaaa ukute shape ipo ni fire
Hahaha..Sasa kabla ya kuwa muongo si utoe hiyo avatar?
Achana na huyo dogo ameoa mke wa baridi kama panga lililo lala njeSasa wanawake weusi unataka nani atupende rafiki? Leo tumefikiwa wacha turinge.
Makasiriko ya nini kwa kufail kwako kwa cheusi mangara broo.. pambana na hali yako wala usione noma.. value ya rangi ya mtume ipo juu zaidi 🤣🤣🤣 usiumie sana unaweza muacha huyo cheusi wako ukachukua rangi ya mtumeWe ndiyo unajifariji baada ya kuoa mke wa baridi kama panga lililo lala nje
Pambana na hali yako
Kuna Chuma Nimekipata Toka Kanda Maalum Yenye Ma~RPC SabaBahati mbaya weusi pure black ni wachache saaana
Baelezee BaeleweWeusi wa moto. Ova
KivpPorojo hizo,kila mwanamke ana maji.
🤣🤣🤣Achana na huyo dogo ameoa mke wa baridi kama panga lililo lala nje
Angalau wanaume weusi tumekumbukwa. Kwani mnaenjoy nini kutoka kwetu sisi wanaume weusi na mimi nianze kuringa 🤣🤣🤣Kama ambavyo mi sikujua utamu wa mwanaume mweusi....aisee
Ebony 😋😋😋Wht I like about them ni kuwa nje ni weusi ndani wekundu halafu joto sasa
Mwe mwe mweee!!!!View attachment 2395386
Wewe Beesmom wewe 🤣🤣🤣Ile kitu ikisimama na misuli yake ile iko very attractive.... Hata kama upo moodless unajikuta unataka show
Njooni hapa akina Demi Kelsea Unique Flower sophy27Ile kitu ikisimama na misuli yake ile iko very attractive.... Hata kama upo moodless unajikuta unataka show
😍 Sahihi, wasweet kweli
Mbona hutulii
Mamanzi weusi na ngozi zao za kuteleza kama kambare, akijipiga mafuta Vizuri unaona reflection ya mwanga kwenye komwe paleHabari za jukwaani wana MMU,
Leo napenda ku declare interest kwamba kiukweli huwa napenda sana wanawake weusi iwe ni maji ya kunde au weusi kabisa real black beauty A.K.A mama Afrika.
Wanawake weusi wana sifa za kipekee kushinda weupe kama ifuatavyo;
1. Akiwa mzuri anakuwa mzuri na mrembo kweli siyo kama wale wengine wanaosaidiwa na rangi ya kitimoto.
2. Huwa wana ngozi laini na wanakuwa na rangi ya kamg'ao fulani kama dhahabu sijui ndio mnaita chiculate kwa mbali tofauti na weupe.
3. Wakinenepa na zikatoka zile mistari fulani wanaita mangurunyii huko Arusha haziwaharibu ngozi kama inavyokuwa kwa weupe.
4. Wanawake weusi huwa hawana mabaka baka kama weupe na kama yapo yanaonekana Zaidi kwa weupe kuliko weusi, rangi inawastahi.
5. Wanawake weusi huwa wana joto sana tofauti na weupe kwahiyo wanakuwa watamu.
Hizo ni baadhi tuu ya sifa za Mama Afrika, real black beauty girls dhidi ya weupe.
Picha zinaongea
View attachment 2395374View attachment 2395375