RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Hotels mbona kawaida sana. Kuanzia $50 hotel zinaridhisha kabisa. Kutembea huna haja ya mwenyeji. Google sehemu za kutembelea ukiwa Dubai then unaenda mwenyewe tu tena usitumie taxi bei mbaya,tumia dubai metro iko straightfoward unafika sehemu nyingi sana kwa bei chee.Kwenda naona sio shida...shida kubwa ni hotels na mutu ya kukuonjesha maendeo...hahhahaha ni majanga lkn kama huna mwenyeji wa kukutembeza...ACHa nianze kutafuta muarabu mwenyeji