Wale tunaolea mbinu gani ya kumfanya mtoto aache mwenyewe kunyonya?

Hii mbinu huwa tunaitumia sana kwenye ukoo wetu.

Mtoto akishafikisha mwaka 1.5 lazima aache kunyonya, Kinachofanyika anatengenezewa mlenda uliochaganywa na maziwa ya mama yake Halafu tunampatia na ugali baada ya hapo hata kuja tena kudai ziwa anyonye.
 
Acha kua na roho mbaya wewe dada... Mwache mtoto apate burudani yake ya kipekee.

Kwani wewe kipindi ukiwa mtoto unanyonya uliachishwa mara moja...!?
 
Nilisoma sehemu wamama wengi wanapaka Alovera...
Yaani siku mbili nyingi...
Sio lazima umkwaze. Cha kwanza muamishe usiwe unalala nae Kama upo Karibu Na bibi YAKE unamuacha uko wiki moja tu au mbili , au ataria watambeleza ataamka atasikia njaa atakula Na Kama kuna watoto wenzie anacheza nao pamoja baada ya wiki au mbili unaenda kumchukua huku nyonyo umeifunika Na bandegi akiona anaogopa unamwambia dudu hii ah basi mmeachana kwa AMANI. Naushari mnyonyeshe hadi miaka miwili sio vizuri kumuachisha mapema.
 
Sio lazima umkwaze. Cha kwanza muamishe usiwe unalala nae Kama upo Karibu Na bibi YAKE unamuacha uko wiki moja tu au mbili , au ataria watambeleza ataamka atasikia njaa atakula Na Kama kuna watoto wenzie anacheza nao pamoja baada ya wiki au mbili unaenda kumchukua huku nyonyo umeifunika Na bandegi akiona anaogopa unamwambia dudu hii ah basi mmeachana kwa AMANI. Naushari mnyonyeshe hadi miaka miwili sio vizuri kumuachisha mapema.
Sasa mateso yote hayo ya nini? Si bora tu umkwaze siku mbili yaishe
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom