Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Haya wadau karibu sana wale mabingwa wa kulala peke yetu on bed,karibuni tu share mambo
Tupo tumeonaKina dada watajifanya hawajauona huu uzi wakat wengi sana humu wapweke
Karibu mwaya, upweke sasa basi!Nipo
Hapa nimekaa sebuleni mwnyw nasubiri kuangalia mpira natamani ningekuwa na mwenzangu japo ananipapasa kidogoTupo tumeona
Na ww unalala peke ako?
Haha pole.me nko mwenyew kitandani njoo tufanye colaboHapa nimekaa sebuleni mwnyw nasubiri kuangalia mpira natamani ningekuwa na mwenzangu japo ananipapasa kidogo
Wewe unasbiri mpira,yeye angekuwa ana chart.Hapa nimekaa sebuleni mwnyw nasubiri kuangalia mpira natamani ningekuwa na mwenzangu japo ananipapasa kidogo
Kitandani baadae sasa tunatakiwa tukae tunaangalia tv umevaa night dress tunapapasana....penzi likiwa jipya lina raha ujueHaha pole.me nko mwenyew kitandani njoo tufanye colabo
Acha kabisa lina msisimko kama wa cocacolaKitandani baadae sasa tunatakiwa tukae tunaangalia tv umevaa night dress tunapapasana....penzi likiwa jipya lina raha ujue
kachelewa naja mimiHaha pole.me nko mwenyew kitandani njoo tufanye colabo