Nakumbuka nilikua mtukutu hatari na matukio kibao nilikua nafanya plus suspension za kutosha.Kuna siku nilibeba begi kubwa la nguo nkabebea daftari mbili tu na pen.Nilichezea bakora ni hatari.
Nikuwa mkali wa kuzamia safari yoyote ya shule sikuwa nalipia mchango ila lazima niende
Kali kuliko nilizamia safari ya kwenda kreta ngorongoro
Gari iliondoka shule moshi saa 10 alfajiri niliibukia mitaa ya uwanja wa ndege
Waalimu walishangaa kuniona nipo kwenye gari
Nilikuja kusomewa kesi mbele ya shule na kupigwa bakora za kwenda
Na kuambiwa lazima kulipa hiyo hela ilikuwa ni elfu 25
Yaani sijawahi kusifiwa shule kwa lolote, sijawahi fanya zuri shuleni
Vitabu vya maktaba nimeiba sana kuuza.
Shule nakuja siku ninayotaka na kutoroka ni muda wowote ninaotaka.
Kuna siku mpishi alizingua nikapiga na mwiko ulikua foleni ya chakula alizimia hapohapo, nilikimbia kama upepo sekunde hiyohiyo uhamisho ulinifata nyuma.
Kuna siku nilichapa mwalimu viboko vya kutosha ile kushtuka nilishakimbia muda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.