Wale tuliowahi kuogea beseni ukubwani tena vyumbani

Black ma colour

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
733
661
Watsup fellas.

Wazee wa kuogea kwenye beseni mpoo? Iwe mdada au braza!

Hii inawahusu wale mnaozamia nyumba za watu kisha mnakaa chumbani kwa mabinti au mabwana afu mbaya zaidi chumba kinakuwa sio self na kutoka kwenda kuoga kwenye vyoo vya public hamuwezi, mda wote chumbani, si baba wala mama anajua!

Siri hubaki kati ya watu wachache ndani ya nyumba.

Ila kuna watu mna uthubutu kwakweli hongereni.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sababu nyingine unakaa uswahilini halafu bafu bovu na choo kimejaa au kimebomoko halafu inabidi uingikazini shift ya mchana kuanzia saa kumi mbona utarudi utoto na utajifunza kuoga kwenye beseni mpaka utakuwa funding๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Duh, kwenda haja je?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna portable toilets pale milimani City matata sana, nzuri hizo unaweza acha tumia choo cha kawaida, kwa uzuri wake, rangi aina mmbalimbali, unaweza tumia kwenye gari yako,

zenye umeme
Best-Portable-Camping-Toilets.gif
Best-Portable-Camping-Toilets.gif
na zisizo tumia umeme,
images.jpg
Best-Portable-Camping-Toilets.gif images.jpg
 
Ukijisaidia unaenda kumwaga? Sitaweza kwa kweli?
Yaani mkuu zinadawa lainisha zikijaa hata ukimwaga barabarani hazuna harufu, ndo zilee mbolea wanazotumia wauza Maua wa mjini, tena wanauza kabisa bei mbaya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom