Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,625
Daa wee cha mtoto mimi nilikuwa natoka WEllingtone kwenda Amsterdam, sina hata shillingi wala visa! na mageti geti yao ile ya Umeme utakoma tu! nikaona isiwe tabu, kama nikifanikiwa kutoka Wellingtone nikifika Sydney tu nadai ukimbizi,Mdau hiyo yako simple sana, Mnazi Mmoja to Mbezi Chamdoli, nimewahi kutoka Morogoro to Unguja dah ilikua noma sana, sitaki kukumbukaga kabisa konda wa Abood alinichukulia saa yangu na kwenye boat nilikamatwa Sina tiketi
cha ajabu kwenye mageti ya ukaguzi yote nilipita km mtu mwema na salama nikafika Amsterdam kiulainiiii, na chakula nikala vizuri tu! na story za kujiamini za kumwaga !!
Kitu kimoja niligundua kama wewe unajua ni mtu wa kufa tu unakuwa na confidence za ajabu sana!!