Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #121
Ni kweli, ila hayo maisha niliishi zamani mno, si sasa.Huo uzi ulipost september 18 mwaka huu.... Hapo ulikuwa second yr...
Leo ni october 2 ushakuwa meneja.
Nyoko zako
Ni kweli, ila hayo maisha niliishi zamani mno, si sasa.Huo uzi ulipost september 18 mwaka huu.... Hapo ulikuwa second yr...
Leo ni october 2 ushakuwa meneja.
Nyoko zako
Nani kakuomba msamaha? Yani utuletee hadithi za uongo utegemee tukuache tu?Kaka omba yasikukute, ndoa zina siri nyingi. Anyway, nimekusamehe na naomba niishie hapo.
Karibu sana!Nmeelewa mkuu. Fake it till you make it
Ahsante sana, upo huru kuwaza chochote.Nani kakuomba msamaha? Yani utuletee hadithi za uongo utegemee tukuache tu?
Karibu wapiKaribu sana!
Karibu wapi
Miaka 30 una cheo cha Ugurugenzi wa Bodi ya Wakurugenzi?I meant nilipokuwa mwaka wa 2 chuoni kaka. Now nina-approach 31 years.
Mkuu historia yako imenigusa sana ,japo mm kwetu ni wa mwisho lakn pia sehemu kubwa mno ya maisha yangu ya kitaaluma nimejipambania mwenyewe .Wanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!
For inspiration purpose mkuu sio mbaya huwez kujua kuna watu wanapitia hayo aliopitia mkulungwa na wanaelekea kukata tamaa hili andiko linaweza kuwatia moyo waendelee kukaza sio kila mtu anayeelezea mafanikio yake ana lengo la kuvimbaWalitusua wanakaa kimya huwa hawaongei ongei sana
Lisikie hili neno mkuu Kwa sikio tulivu...Umasikini umekuwa sifa.
Ila naona kipato unachopata ni cha kawaida sana kama hutachukua hatua kwenda mbele zaidi.
Maisha ya jamii forum yanachanganya sana
Wewe juzi tu hapa sii ulisema uko second year au nimekuchanganya
Leo umeshakuwa manager tena kwenye kampuni mbili
Approaching 31 and you are already a manager in public sector??I meant nilipokuwa mwaka wa 2 chuoni kaka. Now nina-approach 31 years.
Wanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!
Mungu ni mwema,pole kwa machungu usisahau kusaidia ndugu na jamaa ufanikiwe zaidi.Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!
Haya mkuu hongera sana. Ila usiwasahau masikini wenzako maana ladha ya umasikini unaijua vyemaHapana ni mipango tu, kwani kuingia JF kunapoteza muda gani?