Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Uzi wa vilaza wa special school wanekutana kufarijiana.. haaaaaa..
Just joking..
Sent using Jamii Forums mobile app
Just joking..
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ulitupwa Mzumbeni wewe au Umenyeni...
Hizo ndio shule pekee kwa wakati huo watu walikuwa wanasoma kama vile wanajiandaa kwenda kufanya interview NASA...(sijui kwa miaka hii zipoje)
Huyu ni invo bila shaka auMzee acha tu kuna jombaa alikuwa coet kapiga ilboru alituwashia moto first year kagonga 4.9 sijawai ona mimi uwezo wangu darasani haujawai kuwa na mashaka ila huyu jamaa ni noma ogopa mtu mnasoma wote darasani ila yeye ni kama mwalimu wenu anajua kila kitu ni balaa nashukuru tu mungu chuo sijawai kupenda kushindana kama seko dari uko ningekufa kwa presha. Kuna watu wamebarikiwa nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo somo lililonitoa hili mkuu...A- both a level na O levelMwanangu hawez kusoma comb yenye phys bora nilimenae matikiti huku koromije
Ilboru ndio Umenyeni, msuli wa huko ulikuwa waitwa "Ilboriasis Bundiata"...Umeisahau Ilboru, nilikiwa na mjuba pale aiseeh ukiacha mistari aliyokiwa ananiimbisha, kipindi hicho yeye alikuwa anacheza na 90 kwenda juu, mwenyewe alikiwa anaita bouncing life yaani ananesanesa kati ya 100 na 90.
Sina hamu na wa kaskazini...
Alikiwa anajua Mahaba hatarii ila hakufanikiwa kuniambukiza ujiniasi wake mie nikaishia kidato cha pili... Poor Kasie.
Ilboru ndio Umenyeni, msuli wa huko ulikuwa waitwa "Ilboriasis Bundiata"...
Sijui kama wanafunzi wa sasa wangali wanalijua hilo jina...
Achen unafki jaman..yan mungu huyu anatabu sana..yan mtu et anashukuru hakupata div1....?kweel?...kwel? BrooMa PCB ni magumu nyie ! Acheni kabisa. Biology kwangu ilikua ni mzigo, nikiwaza Ile biological science naishiwa na nguvu.
Nashukuru Mungu sikupata div.1 maana ingenilazimu kusoma Kada ya afya ambayo ni ngumu.
Kaka najua uwamini , lakini kwa ninachofanya sasa hivi, nisingeweza kufanya kama ningepata division 1 maana ningeendeshwa na presha za watu pamoja na mikumbo kwenye fani ambayo isingenipa furaha kama ninayoipata sasa.Achen unafki jaman..yan mungu huyu anatabu sana..yan mtu et anashukuru hakupata div1....?kweel?...kwel? Broo
Sent using Jamii Forums mobile app
umesoma nin mwenzetu ambacho hakina presha?Kaka najua uwamini , lakini kwa ninachofanya sasa hivi, nisingeweza kufanya kama ningepata division 1 maana ningeendeshwa na presha za watu pamoja na mikumbo kwenye fani ambayo isingenipa furaha kama ninayoipata sasa.
Nimeshuhudia washkaji zangu wengi jinsi presha za matokeo zilivyowapeleka kwenye fani wanazozijutia.
Hahaha, sio poa... Hii ina discourage sana! Ume niacha hoi et sasa hv wapo tu tuna zunguka woteinakatisha tamaa unasikia kuna mjuba ana 1:3 PCB.
hapo ndio utajua si kweli kwamba NECTA wana roho mbaya,ila wanajua kwamba itategemea unawaangalia ukiwa umekaa wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
dahMimi hkl malangali, nilikimbiza paka walimu, watu wa biology form six wananletea maswali mimi hkl, pure maths ndio balaa. Ila saivi nipo chalinze nalima nazi.
Ni vipaji vya kusongoka mkuuHao wenye vipaji maalumu si wavumbue basi dawa ya Korona