cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,484
- 137,120
Jiran angu yey alisoma st flan iv o level, akatok na 1 ya 14 akaenda PCB Minaki uwiiiiiiih, et necta f6 katok na 3 ya 14, sijaamin hat kidogo, the way mzaz wake alivokuwa anajigamba mmmmh.Yeah mtoto umkimpela sentikunani olevel advance amalize huko huko ukimleta govt unampoteza
Kuna dogo mmoja akitoka na one ya 13 Senti kunani akapelekwa mzumbe advance akapata three ya 15 darasani wa mwisho dally
Sent using Jamii Forums mobile app