Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,322
- 14,244
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha!,kha!,Mkuu usikate tamaa muda bado upo,nenda shule.Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe.Heri yenu mlio fika secondary sisi tulio ishi shule ya msingi inakuwaje...???
Kwanini mbona Songea boys pako poa tu?.haha , mkuu A level nilichaguliwa kujiunga na hiyo S.L.P 2 Songea ila sikwenda
Kha!,kha!,Mkuu usikate tamaa muda bado upo,nenda shule.Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe.
Hongera kwa kupata kazi Serikalini.Umeona jinsi maisha yanavyojibalansi?,Yaani hujasoma Sekondari lkn una kazi,wakati kuna watu wamesoma hayo masekondari na mavyuo lkn hawana kazi.Hivyo ulipo umshukuru Mungu .Nina miaka 37 saizi ninaajira serikalini umri wangu umenda mkuu nimeajiriwa tu nikiwa na umri wa miaka 16 mwaka 1999 nina elimu na taaluma niliyopata kupitia hii kazi pia ni dereva mzuri sana niliajiriwa nikiwa mdogo sana pia nitastaafu nikiwa bado nina nguvu mana mpaka saizi nina miaka 20 kwenye chombo hiki cha utumishi bado miaka 15 tu nistaafu nitastaafu nikiwa na miaka 52 tu na nimepanga siongezi muda......na ninaomba Mungu wasiniongezee mda...mana nimechoka...
seminari.Kwanini mbona Songea boys pako poa tu?.
kasome QT mkuuHeri yenu mlio fika secondary sisi tulio ishi shule ya msingi inakuwaje...???
kasome QT mkuu
Amina mm shule nilikataa mwenyewe sec nilikataa nilivyoferi tuu nikatoroka home nikaenda mkoa uko ndo nikapataga ajira ya serikalini...Hongera kwa kupata kazi Serikalini.Umeona jinsi maisha yanavyojibalansi?,Yaani hujasoma Sekondari lkn una kazi,wakati kuna watu wamesoma hayo masekondari na mavyuo lkn hawana kazi.Hivyo ulipo umshukuru Mungu .
basi lete pesa nikuuzie cheti cha CSEEUmri umenda mzee
Aisee!!!,Mungu anakupenda sana.Amina mm shule nilikataa mwenyewe sec nilikataa nilivyoferi tuu nikatoroka home nikaenda mkoa uko ndo nikapataga ajira ya serikalini...
Ndo wapi huko MKUU?.Lile la shighatini walilidumbukiza mtoni
Ndo wapi huko MKUU?.Lile la shighatini walilidumbukiza mtoni
Hata wanafunzi kwenda nao kwenye michezo.Hayo magari shughuli kuu ilikuwa kubeba kuni