Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Naona unaandika kwa mafeelings ya kufa mtu...It's not fair kwa shindano ambalo watu wengi wameandika na kupata zero vote mtu anapata vote 1000 usimpe hata nafasi ya tano? Mnhhhh
Bahati mbaya hata sijui mnazungumzia nini hapa....
Hii michepuko inanifanya nipitwe na mengi...
Anyway, polesana, japo hata sijui nakupa pole ya kitu gani