Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,825
Habari wana bodi.
Kama maada inavojieleza hapo, pengine kwa kuguswa moja kwa moja, kusimuliwa, au kuona kwa macho yako, namna ambavyo walinzi wetu hawa wanavyotoa adhabu dhidi ya wakosefu, walioingia kwenye anga zao, ama kwa maksudi au kwa bahati mbaya.
Mimi binafsi yalinikuta. Miaka kadha iliyopita nikiwa mwanafunzi wa wa sekondari ya Muyama, hawa jamaa (wanajeshi) walikua na kambi yao pale migongo (sijui kwa sasa kama ingalipo bado)
Siku hiyo ilikua jumamos na kwa kawaida jumamosi kwa maeneo yale ndio siku ya soko linalounganisha watu vijiji na maeneo ya mbali, yaani ndilo soko kubwa.
Ishu ilianza nikiwa na jamaa angu mmoja akiwa na demu wake, (mwanafunzi mwenzetu) wakati tukifanya manunuzi, ghafla alikuja dogo kistaarabu tu akamwambia demu wa jamaa kuwa anaitwa, na vile jamaa hakuwa na makuu akamruhusu demu aende, baada ya muda mfupi demu akarudi akiwa kama yuko off mood flan hivi, jamaa hakumuuliza.
Baada ya muda wa mizunguko na manunuzi ya hap na pale, hivi na vile, uzalendo ukanishinda nikaamua kumuuliza, shem wangu huyu, nae akafunguka, kuwa wanajeshi wanamsumbua, sa mie nikatoa wazo la kulipa kisasi na nikapendekeza tukatoe upepo kwenye tairi za gari lao.
Mchakato wa kisasi ujaanza, kwa kutafuta kijiti Cha kutolea upepo na misumari ya kutobolea tair. Baada ya zana kukamilika, tukaanza kulisogelea gari lao, wakati huo wao wanapiga urabu tu wala hawan wazo kabisa. Baada ya kulisogelea na kujiridhisha kuwa hakukuwa na mtu yeyote liyekuwa akijisumbua juu yetu, ndipo mshikaji wangu akachuchumaa kwa ajili ya kufanya yake.
Akiwa kachuchumaa kwenye tairi la pili, nilishangaa naona vumbi na mshikaji akiwa juu, ile na hamaki namuona mjeda mmoja akiwa anamtenda jeuri na nchi ile ina udongo mwekundu na vumbi lake asikuambie mtu. Wakati mjeda akiwa anmsurubu mshikaji, nikaona jamaa mwingine anakuja kwangu spidi, nikajiongeza kwa kujua ni wale wale, nililaza mshale mfano haujakuwepo.
Nimefika gheto (wakati huo tunaita camp) sina chochote, kila kitu nimetupa, hata demu (shem) mwenyewe sijui aliko, dk kama 20 baadae namuona jamaa angu kapauka na manundu ya kutosha, kababalnce (sare ya shule) kake kekundu kamechanwa, chanwa, ile namuona mshikaji tukaanza kucheka tu.
Siku chache baadae tunagundua washikaji wanamega tena kidemu kilicho tusababishia shida, tukaona hamna noma jamaa akamtema asee.
Wale ambao tunavisanga na hawa watu ebu tupeane uzoefu
Kama maada inavojieleza hapo, pengine kwa kuguswa moja kwa moja, kusimuliwa, au kuona kwa macho yako, namna ambavyo walinzi wetu hawa wanavyotoa adhabu dhidi ya wakosefu, walioingia kwenye anga zao, ama kwa maksudi au kwa bahati mbaya.
Mimi binafsi yalinikuta. Miaka kadha iliyopita nikiwa mwanafunzi wa wa sekondari ya Muyama, hawa jamaa (wanajeshi) walikua na kambi yao pale migongo (sijui kwa sasa kama ingalipo bado)
Siku hiyo ilikua jumamos na kwa kawaida jumamosi kwa maeneo yale ndio siku ya soko linalounganisha watu vijiji na maeneo ya mbali, yaani ndilo soko kubwa.
Ishu ilianza nikiwa na jamaa angu mmoja akiwa na demu wake, (mwanafunzi mwenzetu) wakati tukifanya manunuzi, ghafla alikuja dogo kistaarabu tu akamwambia demu wa jamaa kuwa anaitwa, na vile jamaa hakuwa na makuu akamruhusu demu aende, baada ya muda mfupi demu akarudi akiwa kama yuko off mood flan hivi, jamaa hakumuuliza.
Baada ya muda wa mizunguko na manunuzi ya hap na pale, hivi na vile, uzalendo ukanishinda nikaamua kumuuliza, shem wangu huyu, nae akafunguka, kuwa wanajeshi wanamsumbua, sa mie nikatoa wazo la kulipa kisasi na nikapendekeza tukatoe upepo kwenye tairi za gari lao.
Mchakato wa kisasi ujaanza, kwa kutafuta kijiti Cha kutolea upepo na misumari ya kutobolea tair. Baada ya zana kukamilika, tukaanza kulisogelea gari lao, wakati huo wao wanapiga urabu tu wala hawan wazo kabisa. Baada ya kulisogelea na kujiridhisha kuwa hakukuwa na mtu yeyote liyekuwa akijisumbua juu yetu, ndipo mshikaji wangu akachuchumaa kwa ajili ya kufanya yake.
Akiwa kachuchumaa kwenye tairi la pili, nilishangaa naona vumbi na mshikaji akiwa juu, ile na hamaki namuona mjeda mmoja akiwa anamtenda jeuri na nchi ile ina udongo mwekundu na vumbi lake asikuambie mtu. Wakati mjeda akiwa anmsurubu mshikaji, nikaona jamaa mwingine anakuja kwangu spidi, nikajiongeza kwa kujua ni wale wale, nililaza mshale mfano haujakuwepo.
Nimefika gheto (wakati huo tunaita camp) sina chochote, kila kitu nimetupa, hata demu (shem) mwenyewe sijui aliko, dk kama 20 baadae namuona jamaa angu kapauka na manundu ya kutosha, kababalnce (sare ya shule) kake kekundu kamechanwa, chanwa, ile namuona mshikaji tukaanza kucheka tu.
Siku chache baadae tunagundua washikaji wanamega tena kidemu kilicho tusababishia shida, tukaona hamna noma jamaa akamtema asee.
Wale ambao tunavisanga na hawa watu ebu tupeane uzoefu