Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

BIG THINKER

JF-Expert Member
May 20, 2018
680
1,420
Haya sasa,

Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.

Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.

IMG-20230201-WA0013.jpg
 
Ngoja nikae kimya coz JF ukitaka uonekane kua ni mkweli basi jitangaze kua unapitia magumu na upo kwenye dhiki,kila mtu atakuonea huruma na kukuombea dua kisha kukutia moyo, sijui pambana utatoka tu,

Ukisema kua una good life, utasikia acha uongo,mtu mwenyewe upo kwa Shemeji yako unagombania remote na watoto wa Dada yako.

:D :D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom