mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Mbona ukimpata mwenye kaulewa kidogo ndoa inakuwa salama na amani na upendo tele kuliko hawa wanaojiita wasomi kushindana kwenye nyumba kila siku,Basi oa mama wa nyumbani awe house maid wako.
Yaani vikao vya wanaume kutokuwaoa tu, piga mimba mkalee huko tutaoa baki tatu