Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 8,278
- 19,139
Ni shetani tu ameamua kuwatumia kuharibu ndoa.Feminists mmekuja kutuharibia taratibu za dunia yetu
Ni shetani tu ameamua kuwatumia kuharibu ndoa.Feminists mmekuja kutuharibia taratibu za dunia yetu
teyna !!!
Tutachambwa hadi tukome. Ngoja nimpe house girl maelekezo vizuri, niendelee kusoma uzi.
Aaah kabisaIla matatizo anayo January to December unatakiwa kuya fund always!
Pole kwa changamoto ya ndoa, ushauri wangu kabla ya kuoa tuwe tunachunguza kidogo background ya mke mtarajiwa kwa maana ya malezi na namna alivyokuwaWadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Sikupati wosaap!!!binamu!Wala comment tu hizi
Kazi mnayo... HahaHatujafundishwa
Hapana. ......ni kwamba Corporate women wengi hawapo kwa ajili ya kuolewa... sana sana ukiona yupo kwenye ndoa basi yeye ndiye mwenye uwezo financially kupita mumewe au mume ameamua kuyapuuzia mambo anayopaswa kufanyiwa na mke......Mbona sasa hivi nimeoa mke ambaye yupo bize na kazi zake lakini anakumbuka kama ana mme kila anapopata nafasi ....na kuna vitu vinavyonihusu ambavyo kamwe haruhusu vifanywe na housegirl......ni kujitambua tu.....acheni uhuni wenuYeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Jitahidi asikuvuruge, usikubali kufikia hatua hiyo.Hahaha... Unajua hizi mambo zinaendana na saikolojia. Sasa kama mtu anakuvuruga muda wote hata K yake utaiona ya kawaida tu.
Mnaonaje badala ya kuhangaika na wanawake wa kazini wanawapasua vichwa hadi mnachanganyikwa,kwanini msioe tu wale majobless ili muwatumikishe mtakavyo na muishi bila kufanya kazi yoyote nyumbani kama walemavu!Wataolewa wa makazini sana tu, na spana za kutosha watachezea..tena spana malaya! Hatutaki ujinga sisi, kwani Mungu alisemaje eti, sisi ni vichwa, kichwa gani kikasonga ugali na kuanza kutoa makamasi jikoni
Asije akakosea, awe serious na kazi yake.teyna !!!
Watu wanabadilika.Pole kwa changamoto ya ndoa, ushauri wangu kabla ya kuoa tuwe tunachunguza kidogo background ya mke mtarajiwa kwa maana ya malezi na namna alivyokuwa
Matured hawataki kuendeshwa wala hawapendi viburi.Marioo Wana nini Mimi hupenda wanaume matured na akili kubwa, marioo wengi hawajui hata kutafta hela wakafie huko
Umebadilisha wangapi acheni majunguEtiii kumdunga mangumi ndo kuishi nae kiakili nipe namba yake nikufundishe kumbadilisha
Ngoja nikujeSikupati wosaap!!!binamu!
Wanawake aina hii wao wanaona kufanya majukumu yake kwa mume ni favour na si wajibu😅!Chochote unachofanya sio favour ni wajibu wako na mwanaume anatimiza wajibu wake.
Kuna wanawake wanafanya kazi nzuri tu ila wameolewa na wanawaheshimu waume wao.Mnaonaje badala ya kuhangaika na wanawake wa kazini wanawapasua vichwa hadi mnachanganyikwa,kwanini msioe tu wale majobless ili muwatumikishe mtakavyo na muishi bila kufanya kazi yoyote nyumbani kama walemavu!
Huyo alikuwa jipu tayariUko sahihi...mimi nilifikia kumwambia kwamba its okay kila kitu afanye houseirl lakini yeye afanye finishing tu ...yaani hata anipakulie tu chakula, au anipangie vizuri nguo zangu ambazo zimeshafuliwa lakini tuliendelea kubishana....
Hapa hatuzungumzii heshima mkuu.Kuna wanawake wanafanya kazi nzuri tu ila wameolewa na wanawaheshimu waume wao.
Ninafirikiri utushauri tuoe wanawake wanaojitambua - Haijalishi wameenda shule au la, wafanyakazi au la.
Wewe huwezi kukunja mkuu?Uko sahihi...mimi nilifikia kumwambia kwamba its okay kila kitu afanye houseirl lakini yeye afanye finishing tu ...yaani hata anipakulie tu chakula, au anipangie vizuri nguo zangu ambazo zimeshafuliwa lakini tuliendelea kubishana....
Kuchokana ni balaa zito aisee! Mkishaishi kwa kipindi kirefu boredom haikwepeki ila dah ni ngumu.Oooh!! Hapo sasa ndio tunarudi kule kwa kuchokana
Mtu ulomchoka hata kumuongelesha unaona taabu, hata akiongea point wewe unamuona kilaza tu!
Oaneni marafiki na kwasababu mnapendana ili hicho kipindi kikifikia atleast mtahangaika kutafuta namna za kuendelea kuwa pamoja.
Sie wengine atleast kazi hazitubani sana, natoka mapema nafika home napumzika kidogo then naendelea na majukumu mengine. Mambo ya homework za watoto, kuhakikisha uniforms ziko poa kwaajili ya kesho, kuhakikisha nao wamepata muda wa kupumzika hata kwa lazima. Na advantage kubwa niliyonayo i like cooking na nafurahia sana ninapoandaa chakula kwaajili ya familia.
Hivyo sio kwamba hatufanyi, tunafanya ila tunataka muelewe kuwa haiwezi kuwa hivyo kila siku, kuna siku ambazo inabidi tu msaada uhusike na msione kuwa tusipofanya basi hatuwapendi au tunawadharau.
Lakini kwa wanawake ambao kazi zinawabana sana inapaswa muwe waelewa zaidi, hivyo msitulinganishe kuwa mbona fulani anafanya kama ambavyo tu nanyi hampendi kulinganishwa kuwa mbona Bakhressa ni mwanaume na ni bilionea na wewe sio?