Unapoongea haya ukumbuke kuwa vijana wanaooa wake sahizi wengi hawana maisha ya Yusuph Bhakressa wala, Mo Dewji ama Reginald Mengi!

Hayo ma gadgets na mavitu kibao utayaweka wapi ikiwa umepanga zako Magomeni mwembechai? Kazi yako ni boda boda hebu tuangalie maisha in wide dimensions kidogo tusiangalie kama vile wote ni wakazi wa Masaki na Oysterbay!

Hao waajiiriwa tu hawana life hilo! Wengi tia maji tia maji
Ngoja nasi tufananishe hapa, mbona hao kina Manji wameweza nyie mna nini hadi mshindwe? Hebu msijiendekeze jamani, tafuteni pesa mturahisishie maisha, tutawaosha hadi miguu
 
Huu Uzi inaonesha uko very active kuzidi ule wa Kumbu , konda msafi yani nasoma comments nikirefrsh comments zingine 20 zimeji update,

Watu ndoa zinawafesa jaman

Anyway baada ya miaka kadhaa namie ntakuja kuchangia humu kwa sasa nasoma comments nacheka
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Si afadhali wewe, je mimi nikiyefia kwa 'Single mother na forrm II failure"?
 
Huo uzungu mpelekee baba ako nyumbani kwenu. Ukiolewa lazima ufwate taratibu na sheria ikiwemo kumpikia mume wako. Kama hutaki kupika kaa nyumbani na mama ako ndio mtapangiana zamu za kupika sio kwa mume wako.
Mama zao wamewapikia baba zao hadi mimba zao zikatungwa

Wao hawataki wanajiita corporate women.


Strong women my foot
 
You are not our fathers, so do not expect us to be our mothers. Sisi ndio tuko baba, sasa hebu twendeni taratibu. Haya mambo yanazungumzika kabisa
Utaratibu ni ule ule fasten your belts😅 maswala ya kujifanya nati tutaendelea kuwakaza tu!

Sie ndio baba zenu for now mtake msitake ongezeko ni kuliwa mbunye tu!
 
Si wanawake wote ambao wameenda shule ni feminists wala si wanawake wote ambao hawajaenda shule ni wives material.

Tutaoa walioelimika na wanaojitambua.
kumbe wewe hutaki mabinti zako wapate treatment mbaya ila kwa mabinti wa wenzao sawa na unaita feminist ila wako wife material eeeh
 
239 Reactions
Reply
Back
Top Bottom