Mimi kupata unyumba hadi yeye atake , kuna kipindi alinipiga desh wiki 2 , bac siku aliyokuwa na hamu , alianza kujichekesha toka dinner, mapema akaenda kwa bed , nami nikasema ngoja nimuoneshe nami nikawahi kwa bed nikalala nikampa mgongo , akajiongelesha wee mi nikajifanya nakoroma , hadi asubuhi , dah hizi ndoa hizi
Usisusie chakula ya usiku akibana poa akikupa ichape kweli kweli mi hata niwe nimevurugika vp au ameniudhi vp nikiona anaitaka huwa namchapa kweli kweli kama hatujagombana ndio maana ugonvi wetu huwa haudumu sana na mimi mwenyewe bila chakula cha usiku wakati mtu yupo pembeni na ni mali yangu halali aisee ntageuka usiku kucha, ndoto za ajabu haziishi yaani mpaka nile huo usiku hapo unakuja usingizi mwanana kabisa.
 
Tujaribu kuvaa uhusika wa wanawake tutaona ugumu wanaopata.

Au wanaume tujifunze kuwasaidia kazi wake zetu tunaweza angalau kuona ugumu wa kazi hizo.

Mimi nakumbuka wakati wife analea mtoto wetu mchanga hatukuwa na binti wa kazi nilikuwa naamka saa kumi kasoro nakosha vyombo,nafua nguo,nadeki,nasafisha jiko,napika chai,natia maji chooni ya kutumia then saa mbili nakoga naenda kwenye ishu zangu,yeye wife anabaki anapambana na mtoto.

Tulikiiishi kipindi hiko bila binti wa kazi,lakini hizo kazi zote ningemuachia mzigo ungezidi kuwa mzito.

Huo ujinga sifanyi
 
Tujaribu kuvaa uhusika wa wanawake tutaona ugumu wanaopata.

Au wanaume tujifunze kuwasaidia kazi wake zetu tunaweza angalau kuona ugumu wa kazi hizo.

Mimi nakumbuka wakati wife analea mtoto wetu mchanga hatukuwa na binti wa kazi nilikuwa naamka saa kumi kasoro nakosha vyombo,nafua nguo,nadeki,nasafisha jiko,napika chai,natia maji chooni ya kutumia then saa mbili nakoga naenda kwenye ishu zangu,yeye wife anabaki anapambana na mtoto.

Tulikiiishi kipindi hiko bila binti wa kazi,lakini hizo kazi zote ningemuachia mzigo ungezidi kuwa mzito.
We ni mwanaume na nusu

Na hii ndo definition ya a real gentleman
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.


Ulipoandika ulikosea kuoa mi nikadhani hukuoa mtu bali ulioa jini nk,----- katika ndoa matatizo ni lazima yatokee, kamwe huwezi kuishi bila misuguano ya hapa na pale.
 
Hapa tunajadili hoja hatujadili maoni.

Maoni kila mtu anayo ila hoja ndani ya maoni hayo ndicho kitu cha msingi.

Pinga kwa hoja usiishie kusema maoni yangu na kufanya hiyo ni hoja ya kujitetea kwako.

Huu ujinga wa kumrundikia mwwnamke mikazi haukubaliki katu.
Ndani ya hivo vitu ulivyovijadili na ndio mapenzi na kumisiana kunapatikana humo humo

Sasa we unakaa na mtu huon utofauti wa uwepo wake au ukosefu wake, yaan ni unaona kawaida tu hapo kuna love kweli?
 
Usisusie chakula ya usiku akibana poa akikupa ichape kweli kweli mi hata niwe nimevurugika vp au ameniudhi vp nikiona anaitaka huwa namchapa kweli kweli kama hatujagombana ndio maana ugonvi wetu huwa haudumu sana na mimi mwenyewe bila chakula cha usiku wakati mtu yupo pembeni na ni mali yangu halali aisee ntageuka usiku kucha, ndoto za ajabu haziishi yaani mpaka nile huo usiku hapo unakuja usingizi mwanana kabisa.
Unapenda Kei sana
 
Nakubaliana na wewe. Changing a woman’s perspective and attitude requires deep psychological influence.

I have done it and as we speak, nina nimeoa mke wapili mzungu, anamtambua na kuheshimu mke mwenzake vilivyo yet she (mzungu) is also a cooperate woman and she does all household chores which she wasn’t good at in the beginning.

Mwanamke anahitaji mwanaume mwenye kujitambua, msimamo, maono thabiti ya maisha na uwezo wa kusimamia anachokiamini. Huyo ndo mwanaume anayeweza kusimamisha familia na kumkalisha mwanamke chini hata kama ni wa daraja gani.

It is simply psychology.
Hebu niambie kwanza mzungu kakubali kushare dudu? Au mzungu pori
 
Labda ungewashauri tuu vijana wasioe kabla hawajipanga lkn sio kuwakebehi vijana walio na kipato cha chini katika nchi yenye asilimia zaidi ya sabini ya watu wasio na ajira rasmi tia maji tia maji.
Mkuu hii imepenya nini
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.

Pole sana mkuu,
Kwa mtazamo wangu kwa kuzingatia maslahi mapana ya watoto Haikuwa na ulazima sana kwenu kutalikiana, maamuzi ya kutalikiana mmeyafanya sababu tu ya ubinafsi wenu na kujiangalia Nyie tu,
Provided mna watoto wanne, wewe ungemtaliki tu kichwani mwako halafu ungeendelea na life lako Huku ukiwajibika kama baba wa familia,
Mambo ya kupikiwa sijui kufuliwa Nguo are all petty things, mwanamke akishakuzalia watoto inatosha, hayo mengine ni ziada tu,
This is what I believe,
Nina Miaka 4 sasa kwenye ndoa ongeza minne ya mahusiano, na tuna watoto wawili,
Mke wangu ni msomi na ana kipato,
Niseme tu sijawahi hata kumpandishia sauti mke japo mapungufu yapo,
Sioni sababu ya kufanya hivyo, au kupigana na mtu mimi, sina sababu ya kugombana na mtu mzima mwingine tuliyekutana tukiwa watu wazima, hata mimi sometimes huwa nazingua navumiliwa.
Ndoa kuna wakati ichukulie kama association tu yenye common interests (watoto),
Jukumu langu kubwa ni Kuhudumia familia, hayo mengine sijui mapenzi ni ziada tu provided that nahitaji kubalance mapenzi na familia na uhuru wangu pia as a Man.

Mke wangu alijaribu sana kunibadilisha niwe kiumbe kipya yaani nisinywe hata bia na alifeli kabisa, hana hamu kabisa na hilo,

My take,
Jitahidi kuwa huru na mambo yako kama mwanaume huku ukiwajibika kama baba,
Fungua miradi hata ya kilimo mikoa tofauti uwe unatembelea mara kwa mara na unakaa huko hata mwezi, (Lima korosho mtwara, parachichi Njombe, katani tanga, au hata fuga nyuki huko tabora), epuka kuwa na mwanamke 24/7 yaani kuna wakati wanaudhi sana Hawa viumbe,
Penda mkeo that’s okay lakini wakati wote tumia akili yako zaidi kuliko moyo (Imeandikwa)

La mwisho na muhimu ni kuwa mwanamke aliye pekeyake kwa mwanaume ni Mama mzazi tu, provided that nafasi ya familia Haiwi compromised.
 
Ni sawa kabisa.
Hawa wanawake zetu tusiwafanye kama watumwa wetu.
Mara moja moja saidia kufua,kutandika kitanda,kuwaosha watoto inaongeza upendo pia.
Kuna wanaume asili yao unyanyasaji.
Kuna dada aliwahi sema mumewe akimaliza kupuu haflash ananawa huyo mwanamke ndo aflash.Imagine mtu wa hivyo???
Kuna wanaume wao wanachelewa kuamka lakini ataamka utakuwa umeshamuandalia chai maji nguo n.k lakini kutandika tu kitanda hawezi anasubiri mke atandike.

Yaaani mwingine mnaweza kurudi wote home saa 4 usiku inabidi useme mnunue chakula mkifika mlale tu anagoma eti apikiwe??kweli saa 4 ufike na kuanza kupika??
Yaani kina vitu vidogo vya ubinadam tu lakini vinakosesha nyumba amani.
 
Sasa mwanaume mwenye kipato kidogo wa nini jamani????

Wanaume wote waliojaaa wenye hela na kujielewa jamani.
Chaiiiii mwanamke utalipaje bills jamani???kuhudumia nyumba na watoto ni jukumu la mwanaume.
Kamwe usichukue majukumu yake.
Mwache apambane alete chakula mezani.

Jukumu la mwanaume kuhakikisha mke na watoto wanakula, kulala na kupata mahitaji muhimu ikiwemo elimu bora kwa watoto.
Mwanamke kulipa bills na kusimamia majukumu hii inamuondolea confidence mwanaume na ndo chanzo cha migogoro kama ndoa ya mleta mada.

Kazi ya kipato cha mwanamke ni moja tu kusaidia kuwa msaidizi yaani kujazilia sehemu ndogo sana, kuweka akiba pale mume siku akibanwa unampiga tafu, kuwa huru na kipato chako pia nikiamua kuwatoa out including mume ninatoka nae nalipa bills vizuri tu tunaenjoy maisha. Yeye pia ni binadamu iko siku atakwama, anaweza ugua au kupata matatizo mda mrefu kipato changu na akiba nilizoweka zitatusaidia tusongeshe gurudumu la maisha.

Kwanza kwa kumbukumbu zangu wanaume wasiokuwa na hela wana shida sana,mleta mada ni mmojawapo alizidiwa elimu na kipato na mke wake, ikamuondolea uanaume wake na kupelekea maugomvi na talaka.

Wadogo zangu waepukeni wanaume wasio na kipato hawana jema hata kidogo atakunyanyasa kwa kipato chako, atakudhalilisha kwa kipato chako yaani atapambana kuhakikisha unakuwa chini kama yeye kiuchumi na kifikra.
Aisee kwa hali hii Tutaoa kweli ....

Kama mama mnawashauri mabinti zenu hiv...

Kumbe ndo maana wasichana wengi siku hiz ukimtongoza tu matatizo yanaibuka ....

Ukifuatilia zaidi eti anakutest Kama unaweza kuwa mme Bora..
So asilimia kubwa ya boys wanabaki kuwa single mpaka wapate hela..na wakipata hela ndo uanza kuwachezea wanawake maana hufikiri huwa hawapendwi wao Bali pesa zao
 
Aisee kwa hali hii Tutaoa kweli ....

Kama mama mnawashauri mabinti zenu hiv...

Kumbe ndo maana wasichana wengi siku hiz ukimtongoza tu matatizo yanaibuka ....

Ukifuatilia zaidi eti anakutest Kama unaweza kuwa mme Bora..
So asilimia kubwa ya boys wanabaki kuwa single mpaka wapate hela..na wakipata hela ndo uanza kuwachezea wanawake maana hufikiri huwa hawapendwi wao Bali pesa zao
Oa pale unapokuwa umejiandaa kuwa baba, kubeba majukumu yako.
Sasa wewe unafikiri unaoa kwa ajili ya nini???
 
Back
Top Bottom