Wale tuliochukua shahada zetu YOHANA UNIVERSITY njooni tuyajenga hapa

Hivi hiyo Yohana ndiyo John.labda ni st.Johns university ile ya Buguruni Malapa
Umeambiwa Yohana wewe unaleta hadithi zako. Mkurugenzi kashakua mpaka Waziri wa Sheria huko sijui Yohana University. TPDC wapo wasomi na PhD zao kutoka University of Oslo (Norway) ghafla Mkurugenzi Mkuu toka Yohana University huyu hapa. Day One briefing wangejionea maajabu ya Mkurugenzi huyu
 
Wabongo wakipata pakukushika, wanakushikashika kweli, kwa kushikashika huku, si ajabu jamaa wavifurushi wakaja na kubwa kuliko.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom