Wale tulio hustle kimziki ikaahindikana tukutane hapa

Hahaha nimecheka saana.

Nimerap saana shule mkuu...nimeshinda zawadi nyingi saana. Kubwa ni kulipiwa ada mwaka mzima sekondari na Simu.

-Sikuwa naupenda na kuamini muziki utanitoa kimaisha..niliajua narap tu kujifurahisha..nilikuwa nikiangalia maisha ya wasanii waliokuwa na majina makubwa ilihali maskani nawajua nasema hapa hapana...sitoboi.
Ha ha ha ha kumbe mzee wa michano daah
 
Back
Top Bottom