Wale tulio hustle kimziki ikaahindikana tukutane hapa

Hahahah....

I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.

Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa

Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.

Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
Picha Hamna broo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka hii kitu mie ilinipa sana mademu kipindi hicho daah!!
Yaani ilkua kwanza ni street rap afu kushule shule nikiwa na wana tulikuwa na jina sana! Ila wazazi ndo walikatisha ndoto yangu hasa mama alikuwa hataki kabisa hii kitu hasa baad ya kushtukia kuwa nimeshawabanjua mpka mabinti wa rafiki zake kibao tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka hii kitu mie ilinipa sana mademu kipindi hicho daah!!
Yaani ilkua kwanza ni street rap afu kushule shule nikiwa na wana tulikuwa na jina sana! Ila wazazi ndo walikatisha ndoto yangu hasa mama alikuwa hataki kabisa hii kitu hasa baad ya kushtukia kuwa nimeshawabanjua mpka mabinti wa rafiki zake kibao tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Amani sana mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah....

I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.

Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa

Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.

Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
Haha...
Ila kipindi cha balehe ni kibovu saana. Unakuwa hujui la kushika.

Ukikosa mwongozo umepotea.
 
Hahahah....

I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.

Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa

Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.

Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
Aah braza 'i was wanted'!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"was wanted" - "wanted"
Hahahah....

I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.

Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa

Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.

Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2pac
IMG_20190118_184940.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka hii kitu mie ilinipa sana mademu kipindi hicho daah!!
Yaani ilkua kwanza ni street rap afu kushule shule nikiwa na wana tulikuwa na jina sana! Ila wazazi ndo walikatisha ndoto yangu hasa mama alikuwa hataki kabisa hii kitu hasa baad ya kushtukia kuwa nimeshawabanjua mpka mabinti wa rafiki zake kibao tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikula IV

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom