Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kwa wiki kadhaa zilizopita ilitolewa post hapa JF kuhususiana na polisi waliopigwa na wananchi kwa kuchoshwa na vitendo vya rushwa katika mkoa wa Kagera.
sasa jeshi la polisi limewatumia kazi polisi 2 kati ya wanne waliohusika katika tukuio hilo.
taarifa ya kutumiliwa kwao imetolewa na jeshi la polisi leo asubuhi na imewataja kuwa ni mwenye namba E 7107 sajini Herman Musiha(40) maarufu kwa jina la peke peke na mwenye namba F 7372 PC Mateso Said (26) ambao Julai,11 walitoroka kituo chao cha kazi cha Bukoba Mjini na kwenda wilayani Missenyi na kufanya kazi ya kusimamisha magari yanayovusha magendo kwa lengo la kuwashurutisha wwavushaji ili wawapatie fedha.Hata hivyo waliambulia kipigo ,kunusurika kuchomwa moto na gari walilokuwa wamekodi kuvunjwa vunjwa.
kwa mjibu wa taarifa hiyo ni kuwa polisi hao wanakabiliwa na kesi mahakamani.
Haijaelezwa wengine watachukuliwa hatua zipi
sasa jeshi la polisi limewatumia kazi polisi 2 kati ya wanne waliohusika katika tukuio hilo.
taarifa ya kutumiliwa kwao imetolewa na jeshi la polisi leo asubuhi na imewataja kuwa ni mwenye namba E 7107 sajini Herman Musiha(40) maarufu kwa jina la peke peke na mwenye namba F 7372 PC Mateso Said (26) ambao Julai,11 walitoroka kituo chao cha kazi cha Bukoba Mjini na kwenda wilayani Missenyi na kufanya kazi ya kusimamisha magari yanayovusha magendo kwa lengo la kuwashurutisha wwavushaji ili wawapatie fedha.Hata hivyo waliambulia kipigo ,kunusurika kuchomwa moto na gari walilokuwa wamekodi kuvunjwa vunjwa.
kwa mjibu wa taarifa hiyo ni kuwa polisi hao wanakabiliwa na kesi mahakamani.
Haijaelezwa wengine watachukuliwa hatua zipi