MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kocha Fred Minziro huyu huyu ambaye wakati akifundisha Ruvu Shooting na kuna Kipindi alifundisha Mbao FC na kila alipocheza na Yanga SC alikuwa anapanga Kikosi dhaifu na akifungwa anacheka na Kufurahia na kama akiona kuna Mchezaji ana Usimba au anaibania sana Yanga SC hampangi au anamtoa haraka?
Kama kuna Mechi (Mchezo) ambao Yanga SC inaenda Kushinda kwa Karamu ya Magoli mengi ni huu wa leo dhidi ya Geita Gold Saa 10 Kamili Uwanja wa Benjamin Mkapa kwani naamini achilia mbali Kocha wao Msaidizi Fred Kataraiya Majeshi Minziro kuwa ni mwana Yanga SC lia lia ila Matajiri akina GSM na kupitia Umafia wa akina Seif Magari na Bin Kleb wameshamalizana nae kwa Bahasha yake na ya Wachezaji Kitambo sana tu.
Oya Kocha Msaidizi wa Geita Gold Fred Minziro tafadhali baada ya Mechi na Yanga SC ambayo unaenda Kuwaachia wakufunge nyingi tukutane Temeke jirani na Hospitali kwa Yulè Demu wako anayekupelekesha mno na hupindui Kwake kwa jinsi unavyompenda japo Yeye ni Simba SC ili tupige Stori Mbili Tatu huku kama kawaida Bapa zikiwa Mezani kwani najua utakuwa njema Kipesa.
Kama kuna Mechi (Mchezo) ambao Yanga SC inaenda Kushinda kwa Karamu ya Magoli mengi ni huu wa leo dhidi ya Geita Gold Saa 10 Kamili Uwanja wa Benjamin Mkapa kwani naamini achilia mbali Kocha wao Msaidizi Fred Kataraiya Majeshi Minziro kuwa ni mwana Yanga SC lia lia ila Matajiri akina GSM na kupitia Umafia wa akina Seif Magari na Bin Kleb wameshamalizana nae kwa Bahasha yake na ya Wachezaji Kitambo sana tu.
Oya Kocha Msaidizi wa Geita Gold Fred Minziro tafadhali baada ya Mechi na Yanga SC ambayo unaenda Kuwaachia wakufunge nyingi tukutane Temeke jirani na Hospitali kwa Yulè Demu wako anayekupelekesha mno na hupindui Kwake kwa jinsi unavyompenda japo Yeye ni Simba SC ili tupige Stori Mbili Tatu huku kama kawaida Bapa zikiwa Mezani kwani najua utakuwa njema Kipesa.