Mdomo Mwepesi
Member
- Apr 19, 2011
- 67
- 93
Ni kiongozi kijana kuwahi kuwa mkuu wa serikali katika bara la Afrika lakini mambo aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya ni makubwa kwa nchi yake na majirani. Ni mwaka jana tu amekuwa Waziri Mkuu lakini mwaka huu amekuwa mshindi wa Noble Prize!! Ni kiongozi kijana mnyenyekevu na anayethamini heshima, utu na ni mpenda amani. Hapa kwetu kijana akipata madaraka atapenda amkanyage kila mtu, na kulazimisha heshima na kuabudiwa.