Wale tuliopanda kwa macho tunaonana wapi?Bila kupoteza muda, mliowahi kupanda Treni ya Tazara, Dar, Mbeya, Kapirimposhi. Ni kitu gani unakikumbuka katika safari zako ndani ya treni hiyo? Vipi yale mahandaki na kona za hatari?
Karibuni kwa mjadala...
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us