Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegundua mtihani wa huruma ulipata F
Mi nilijibiwa hivyo lakini ninaye mpaka leo, ni mke wangu. Kazi niliyobaki nayo ni ya kumwambia aache kuniomba msamaha maana neno aliloniambia mimi linamuuma yeye aliyelisema kuliko mimi niliyeambiwa. Namwambia yalishapita hayo ilikuwa ni zamani sana, lakini bado tu akikumbuka huomba msamaha!
.......sharti binua tanda.....Wenyewe wanakwambia mtaka cha uvunguni.......
Duuuh ukikumbuka tu mle xn uroda mzee ndo kilichobakiaMi nilijibiwa hivyo lakini ninaye mpaka leo, ni mke wangu. Kazi niliyobaki nayo ni ya kumwambia aache kuniomba msamaha maana neno aliloniambia mimi linamuuma yeye aliyelisema kuliko mimi niliyeambiwa. Namwambia yalishapita hayo ilikuwa ni zamani sana, lakini bado tu akikumbuka huomba msamaha!
Kuna dada mmoja nlimtongozaga fb, akanitukana weeeeeee akanambia "im you sister that wont change" hiyo kauli naikumbukaga sana huku na kule akakubali tuonane tulipoonana anaaibu mpaka kuongea hawezi na ni mtu mzima above 28s basi nikajipigia kiulaaaaiiiinii matusi unaoambana nayo tuu ni maneno tuu sio misumari kwamba itakutoboa
Mbavu zangu jamaniNilikuwa hadi nampigia magoti namuomba tumbua lake nalia hadi machozi, hata ingekuwa ni ww ungenionea huruma Hajar- alipojaa mzima mzima ( eti ooh umelia sana ngoja nikuonee tu huruma) nikajisemea yaani weeeweee nitahakikisha ute ute wooote unakauka hakiyanani
Kuna muda nilinyonya paka nikakaukiwa mate mdomonmtakuja kuua watu
Wanaume wabaya jamani, duh!Alinitukana nikawa mpoooleeeee kama nimemwagiwa maji ya barafu vile, ila nikawa namuomba anipe papa lake nambembekeza hadi napiga goti na chozi nalia kbs( nachotaka nakijua hapo) , ilipokuja kumwingia huruma akatoa papa baana baaaana baana! Alikuwa anaweka kaseti za dini huku kyupi kakitundika paleee katanua miguu yake chanuuuu anapakuliwa kisawasawa, hadi sasa hana ujanja na anaendelea na ulokole wake akizidiwa analileta nalikung' uta haswa!
Sasa anademand mtoto maana umri umemwenda sana na bado hajaolewa
Utabaki kuitwa fun guyNishawahi kukutana na zile za kuambiwa i love you as a friend..damnit.! Aisee inauma kisela.
Mwingine alinambia ujue nakuchukulia kama kaka angu wewe Gru. Friendzoned na brotherzoned zinauma kuliko hayo matusi.
Eti eeh? Una akili sana aiseeeh! Hongera sana. Mimi ni limbukeni zaidi yake. Malimbukeni ndio wanaendana, au unaonaje? Wewe una akili bhana, hongera sana.Umeoa mwanamke limbukeni na mpuuzi sana jombaa, pole
Exactly. But later she discovered I was her damn type, tumelisongesha for 25 years now.alikuambia you are not my type?
Kam ulikuwepo vile kiongozi yaani napambwa jaman Gru where would i be without u!!?Utabaki kuitwa fun guy