ANDREW JOSEPH
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 405
Kuna dada nilijalibu kuomba usajiri kwake eti ananiambia ameokoka anamtegemea Yesu mala oh! Ridhiki lake lipo ila sio mimi nikamuuliza kwa hiyo una bikra? akasema hana mh!! Namimi sikuchoka kuuliza nikamuuliza kwa hiyo hiyo bikra ilitolewa na Yesu? Wee ndio nikawa nimefungulia mvua ya matusi nikauliza tena kwa hiyo huko kanisani ndio mnafundishwa matusi yote haya? Kasema atanipeleka polisi kwa kumdharirisha. Sijui nyinyi wenzangu huko mshawahi kukutana na kizungumkuti kama hiki!!!!