mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Nini maana ya neno kuoana?!
Nini Tofauti Kati ya kuchumbia/kuchumbiwa na kuposa/kuposwa?!
Mfano:-
Unasikia mwanamke/mwanaume(mwanamme) anasema Mimi na mke/mme(mume) wangu tumeoana.
Wanamaanisha Nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini Tofauti Kati ya kuchumbia/kuchumbiwa na kuposa/kuposwa?!
Mfano:-
Unasikia mwanamke/mwanaume(mwanamme) anasema Mimi na mke/mme(mume) wangu tumeoana.
Wanamaanisha Nini?
Sent using Jamii Forums mobile app