Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Ukienda kwenye mapori yetu kuna wanyama ambao ni nyara za Taifa. Hawa huwa wanalindwa kwa hali na mali ili wasipotee katika Hifadhi/Mbuga za Taifa. Zile mbuga si za Serikali ni za Taifa kwa maana ya kuwa kila Serikali itakayokuja itapaswa kuzilinda.
Lakini huko kuna majangili/majangiri (sifahamu vizuri kama ni li/ri) vyovyote iwavyo. Hawa huwa wanaenda kuua wanyama hawa kwa malipo ambayo bado si thamani ya wanyama hawa.
Nikawaza waliotumwa na Shetani kwenda muua Tundu Lissu. Kwa sasa wana kazi tu ya kumcheck kwenye Tv na mitandao akizungumza kwa ujasiri na kwa kupoteza woga kabisa wa kifo.
Ndo kazi waliyo nayo. Sielewi kama walipewa kazi nyingine na baada ya ile mission ku fail. Na kama walipewa hiyo kazi nyingine waliifanya na kukahikikisha waliamua kutenganisha kabisa kichwa na kiwili wili ili mtu huyo asije akaonekana tena ameshindikana kufa.
Hawa watu ukiwafahama wana majina kama mohamed, john, kugambwa, amani n.k kwa maana wana majina ya dini zetu zote.ila wanatumiwa na shetani kufanya unyama huo.
Sasa wana kazi gani hawa wauaji? Wanajisikiaje? Kuna siku tutamsikia mmoja akiwa katika nyumba ya ibada akiomba toba kwa jambo hilo.
Lakini huko kuna majangili/majangiri (sifahamu vizuri kama ni li/ri) vyovyote iwavyo. Hawa huwa wanaenda kuua wanyama hawa kwa malipo ambayo bado si thamani ya wanyama hawa.
Nikawaza waliotumwa na Shetani kwenda muua Tundu Lissu. Kwa sasa wana kazi tu ya kumcheck kwenye Tv na mitandao akizungumza kwa ujasiri na kwa kupoteza woga kabisa wa kifo.
Ndo kazi waliyo nayo. Sielewi kama walipewa kazi nyingine na baada ya ile mission ku fail. Na kama walipewa hiyo kazi nyingine waliifanya na kukahikikisha waliamua kutenganisha kabisa kichwa na kiwili wili ili mtu huyo asije akaonekana tena ameshindikana kufa.
Hawa watu ukiwafahama wana majina kama mohamed, john, kugambwa, amani n.k kwa maana wana majina ya dini zetu zote.ila wanatumiwa na shetani kufanya unyama huo.
Sasa wana kazi gani hawa wauaji? Wanajisikiaje? Kuna siku tutamsikia mmoja akiwa katika nyumba ya ibada akiomba toba kwa jambo hilo.