Wakuu salamu.Nimeishi kwenye ndoa kwa miaka karibia ishirini.Kwa kipindi chote sikuwahi kumcheat mwenzangu.Nimetunza kiapo changu cha ndoa kwamba nitakua muaminifu kwake na kumpenda,nimejitahidi kutimiza wajibu wangu kama mwanandoa ila matokeo yake nimesalitiwa.Moyo unaniuma sana.