Wale ambao tunatarajia kurudi kijijini kabla hakuja kuchwa, tujuane tupeane mbinu

Anko wangu katoka kijijini mimi sijazaliwa. Nimekuja Kukutana naye baada ya mimi kuja Dar.

Mpaka Sasa Ana Miaka 60 Bila Bila.

Anafanya Hustles za Hands to Mouth ( Ambazo Zilipaswa Kufanywa Na Vijana 20 - 35 ).

Kijijini Anaogopa Kurudi, Hana Pa Kuanzia
Wapo wengi ndugu yangu wa namna hio. Hawana pakuanzia kule kijijini. Wengine hata kukanyaga huko hawakanyagi labda kuwe na msiba. Mtu ana kaa miaka kumi nyumbani hajaaenda anapambana tu mjini mwishowe mji inamkataa hana pa kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu kuna mtu namfahamu alikua na chaneli za hela sana lakini alikua hasomi nyakati. Mpaka sasa hata mia hana,nyumbani kijijini akitoka huko miaka ya 1968, mjini alikokaa amebahatika kununua kota, kijijini hana hata nyumba yenye hadhi ya nyumba ya kuku.
Hapo kabla alikua serikalini akiwa boss, kazi ikaisha akafanya biashara iliokua inamlipa sana milioni kumi tano zilikua kawaida kwake, leo hata mia hana. Watoto nao bila bila.

Ndio maana mimi natoa kama angalizo kwamba tukiona muda umeenda kidogo halafu bado mishe hazisomi ni bora kujirudia tu nyumbani mapema bado mtu akiwa na nguvu.
Alichoma sana mihogo mpaka akaja kuwa don pale soko la vyakula Mabibo.

Upande wangu naona mjini hutakiwi uwe mvivu na kuchagua kazi
Hii kazi ya Mihogo imewatoa wengi waliokuwa na juhudi nayo na kuifanya Muda mrefu






Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss wangu ukweli huu mji haujawakunjukia baadhi ya watu, yupo baba mmoja nilisikia alikuja dar mwazoni wa miaka ya 2000
Mpaka leo yupo kwenye chumba kimoja , mke watoto wanne, kula tabu,kula taabu,kuishi taabu tupu yaani. Sasa nikajiuliza anafanya nini mjini zaidi ya kulinda nyumba za watu.
Inawezekana huu ni uzi wa kwanza tangu kuanzishwa JF ambao watu wanakiri waziwazi kwamba maisha ya dar ni magumu na kutoboa ni shida. Nyuzi zote hua naona watu wakisifia jinsi ambavyo dar ndio kila kitu na parahisi kutoboa kuliko sehemu nyingine yoyote nchini. Naona akili zimeanza kuwakaa sawa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 60 amechelewa sana, alipaswa kurudi home around 40-45. Tunapokaa mjini tusijisahau sana, tutengeneze mazingira mazuri nyumbani ili mambo mjini yakiwa magumu tuweze kurudi home

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli boss, kuna mzee fulani alikuwa machimbo mererani miaka ile ya 98 kulivyotokea mvua za elmno mashimo yalijaa maji na watu wengine walifariki huko yeye akapona.
Hakujiuliza mara mbili alirudi kijijini na alikua tajiri wa kijiji kwa mishe zake huko mjini aliwejeza nyumbani sana. Alivyorudi kwa kua bado alikua na nguvu ,alilia kwa miaka mitano alikuwa sio wa kawaida tena, mpaka watu wa mjini walikua wakimuomba hela.
Mpaka anakufa mwaka jana mjini hakurudi tena labda kufuata huduma tu.


Unaweza kupoteza muda ukingojea kesho kusema labda heri itatokea kumbe la!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kurudi nyumbani sio dhambi.kama kwenu ni kijijini sana hapo ndio mziki mnene,hata mlio Wa gari mnausikia kwenye redio lazima upakumbuke jijini......maana kuna vijiji ukienda huchukui sekunde ushapakumbuka ulipotoka...watu wanaishi kama hawapo Tanganyika wanajua nyerere bado ni raisi...kweli sisihemu inafaa kulaumiwa japo kuwa tunaunga mkono juhudi za mheshimiwa G.
 
Si mnapasifia mzunguko wa hela upo. Dsm wanaomenya ni wafanyabiashara wakubwa tu. Wenye ajira za laki 7 kushuka chini mtaendelea kukimbiza mwenge tu huku mkisogeza namba ya umri!
Labda uwe na kazi yenye madili
Ukweoi dar Kuna mzunguko mkubwa wa fedha, labda kidogo kipindi hiki Cha awamu ya tano.
Lakini pamoja na mzunguko wa hell kuwa tofauti na kwingineko garama za maisha nazo ziko juu mno, usafiri, chakula, malazi, ni moja wapo ya viti vinavyo week kuzuizi Cha watu wengi kufanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikubali kushindwa, babu yetu alitusua baada ya kupata wajukuu.

Alichoma sana mihogo mpaka akaja kuwa don pale soko la vyakula Mabibo.

Sasa hivi mjini ameacha nyumba sita, anakula pensheni tu.
Mkuu hongera sana, nadhani kawaachia madini/siri ya utafutaji.Tueleze kidogo alifanyaje akatoboa zaidi ya kuuza mihogo.
 
Aisee huu mji ni nyoso, miaka mi5 tangu nimalize chuo bdo bila bila na masela wangu nao naona bila bila.
Narudi vipi kijijini, kukaa kwa baba na mama?
 
Inawezekana huu ni uzi wa kwanza tangu kuanzishwa JF ambao watu wanakiri waziwazi kwamba maisha ya dar ni magumu na kutoboa ni shida. Nyuzi zote hua naona watu wakisifia jinsi ambavyo dar ndio kila kitu na parahisi kutoboa kuliko sehemu nyingine yoyote nchini. Naona akili zimeanza kuwakaa sawa sasa.
Ni kweli kabsa kuwa uzi huu umevunja record kwa mara ya kwanza katika historia ya JF na dunia.


Maana nyuz nyingi humu zinanena HABARI NJEMA tu about the City.
 
KIJIJINI STOKI TENA....


binafsi mimi ni mfugaji kuna kipesa nilikifumania sehem nkakimbilia kijijini nkanunua kondoo, 100 majike na madume 10 kutoka umasaini nkapata na kijana wa kazi wa kuchunga mifugo (mchungaji ) kwa mwezi anapata tsh40000/ =

UKUAJI :kulingana na eneo langu la kijijini nyasi ni nyingi hvyo kondoo anapata kula masaa zaidi ya 8 wamenenepa na wanaafya binafsi najivunia kuwa kijijini mwaka jana mwezi wa kwanza nliwanunua na kila mwaka kondoo anazaa mara 3 hvyo nakondoo 350 wenye umri wa miezi 6.


MAVUNO: nategemea mwezi wa 6 niuze kondoo 300 kwa sh 50000 au zaidi kwa kila kondoo mmoja kwa sababu wamekuwa wakubwa wakuchinja. tegemeo c chini ya m13 naweza pata nikiwa hapahapa kijijini kwangu...


*kijijini kutamu sana nikiamua kuchinja kondoo na kumtafuna mimi na mke wangu kila wiki naweza kwa sababu itanigharimu kondoo 48 tu kwa mwaka mzima nataka nini tena hapa duniani

*nkishika kondoo 50 napata ada tamu sana ya "mwanangu wa magali ya njano" huku napiga inshu zngne kitaa za kifedha dogo asome asisome mtaji kila weekend anauchunga porini.

mwezi wa 6 natimiza miaka 25 mpaka niongeze mke mwingine wa pili ninauwezo mkubwa wa kulea family pia nataka nguvu kazi niongezee
 
Wasalaam waheshimiwa,

Kama heading inavyosomeka. Ni aibu sana, tena sana, kuwa kwenye nyumba ya kupanga hadi una wajukuu.

Ili kuepuka dhahma hii ni kujiandaa mapema kabla jua halijakuchwa, ili kuwahi kutengeneza mazingira kule kijijini tulipokimbia toka ujana. Inabidi kurudi bado ukiwa na nguvu.

Mimi nimekuja mjini miaka kumi na tano sasa, mpaka sasa bila bila, naongeza kumi mingine kama bado ndio nifunge virago.

Hapo mwanangu atakuwa na miaka kumi na tano.

Je, nitakuwa sahihi wakuu? Nipunguze ama niongeze? Kwa sasa nina 32 years.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo lako ni zuri,ila sio unarudi kijijini tu kwasababu ni kwenu,nenda kijiji chochote tu Tanzania hii mradi kuna uzalishaji mkubwa wa mazao ya biashara ili uweze na wewe kutoboa kivingine...
 
KIJIJINI STOKI TENA....


binafsi mimi ni mfugaji kuna kipesa nilikifumania sehem nkakimbilia kijijini nkanunua kondoo, 100 majike na madume 10 kutoka umasaini nkapata na kijana wa kazi wa kuchunga mifugo (mchungaji ) kwa mwezi anapata tsh40000/ =

UKUAJI :kulingana na eneo langu la kijijini nyasi ni nyingi hvyo kondoo anapata kula masaa zaidi ya 8 wamenenepa na wanaafya binafsi najivunia kuwa kijijini mwaka jana mwezi wa kwanza nliwanunua na kila mwaka kondoo anazaa mara 3 hvyo nakondoo 350 wenye umri wa miezi 6.


MAVUNO: nategemea mwezi wa 6 niuze kondoo 300 kwa sh 50000 au zaidi kwa kila kondoo mmoja kwa sababu wamekuwa wakubwa wakuchinja. tegemeo c chini ya m13 naweza pata nikiwa hapahapa kijijini kwangu...


*kijijini kutamu sana nikiamua kuchinja kondoo na kumtafuna mimi na mke wangu kila wiki naweza kwa sababu itanigharimu kondoo 48 tu kwa mwaka mzima nataka nini tena hapa duniani

*nkishika kondoo 50 napata ada tamu sana ya "mwanangu wa magali ya njano" huku napiga inshu zngne kitaa za kifedha dogo asome asisome mtaji kila weekend anauchunga porini.

mwezi wa 6 natimiza miaka 25 mpaka niongeze mke mwingine wa pili ninauwezo mkubwa wa kulea family pia nataka nguvu kazi niongezee
Daah.. mkuu umenikumbusha kamradi kangu ka kitimoto walikua wameshafika 100.. Wewe kinachokusaidia ni kwavile upo huko huko unasimamia shoo mwenyewe. Mimi kilichoniangusha ni kwamba niko mjini mradi uko kijijini nilikua nasimamia kwa simu.
 
KIJIJINI STOKI TENA....


binafsi mimi ni mfugaji kuna kipesa nilikifumania sehem nkakimbilia kijijini nkanunua kondoo, 100 majike na madume 10 kutoka umasaini nkapata na kijana wa kazi wa kuchunga mifugo (mchungaji ) kwa mwezi anapata tsh40000/ =

UKUAJI :kulingana na eneo langu la kijijini nyasi ni nyingi hvyo kondoo anapata kula masaa zaidi ya 8 wamenenepa na wanaafya binafsi najivunia kuwa kijijini mwaka jana mwezi wa kwanza nliwanunua na kila mwaka kondoo anazaa mara 3 hvyo nakondoo 350 wenye umri wa miezi 6.


MAVUNO: nategemea mwezi wa 6 niuze kondoo 300 kwa sh 50000 au zaidi kwa kila kondoo mmoja kwa sababu wamekuwa wakubwa wakuchinja. tegemeo c chini ya m13 naweza pata nikiwa hapahapa kijijini kwangu...


*kijijini kutamu sana nikiamua kuchinja kondoo na kumtafuna mimi na mke wangu kila wiki naweza kwa sababu itanigharimu kondoo 48 tu kwa mwaka mzima nataka nini tena hapa duniani

*nkishika kondoo 50 napata ada tamu sana ya "mwanangu wa magali ya njano" huku napiga inshu zngne kitaa za kifedha dogo asome asisome mtaji kila weekend anauchunga porini.

mwezi wa 6 natimiza miaka 25 mpaka niongeze mke mwingine wa pili ninauwezo mkubwa wa kulea family pia nataka nguvu kazi niongezee
reginald
 
KIJIJINI STOKI TENA....


binafsi mimi ni mfugaji kuna kipesa nilikifumania sehem nkakimbilia kijijini nkanunua kondoo, 100 majike na madume 10 kutoka umasaini nkapata na kijana wa kazi wa kuchunga mifugo (mchungaji ) kwa mwezi anapata tsh40000/ =

UKUAJI :kulingana na eneo langu la kijijini nyasi ni nyingi hvyo kondoo anapata kula masaa zaidi ya 8 wamenenepa na wanaafya binafsi najivunia kuwa kijijini mwaka jana mwezi wa kwanza nliwanunua na kila mwaka kondoo anazaa mara 3 hvyo nakondoo 350 wenye umri wa miezi 6.


MAVUNO: nategemea mwezi wa 6 niuze kondoo 300 kwa sh 50000 au zaidi kwa kila kondoo mmoja kwa sababu wamekuwa wakubwa wakuchinja. tegemeo c chini ya m13 naweza pata nikiwa hapahapa kijijini kwangu...


*kijijini kutamu sana nikiamua kuchinja kondoo na kumtafuna mimi na mke wangu kila wiki naweza kwa sababu itanigharimu kondoo 48 tu kwa mwaka mzima nataka nini tena hapa duniani

*nkishika kondoo 50 napata ada tamu sana ya "mwanangu wa magali ya njano" huku napiga inshu zngne kitaa za kifedha dogo asome asisome mtaji kila weekend anauchunga porini.

mwezi wa 6 natimiza miaka 25 mpaka niongeze mke mwingine wa pili ninauwezo mkubwa wa kulea family pia nataka nguvu kazi niongezee
Safi sana mkuu ☀️
 
Daah.. mkuu umenikumbusha kamradi kangu ka kitimoto walikua wameshafika 100.. Wewe kinachokusaidia ni kwavile upo huko huko unasimamia shoo mwenyewe. Mimi kilichoniangusha ni kwamba niko mjini mradi uko kijijini nilikua nasimamia kwa simu.
pole sana mkuu bado unayo nafasi...
yakufanya tena na tena
 
KIJIJINI STOKI TENA....


binafsi mimi ni mfugaji kuna kipesa nilikifumania sehem nkakimbilia kijijini nkanunua kondoo, 100 majike na madume 10 kutoka umasaini nkapata na kijana wa kazi wa kuchunga mifugo (mchungaji ) kwa mwezi anapata tsh40000/ =

UKUAJI :kulingana na eneo langu la kijijini nyasi ni nyingi hvyo kondoo anapata kula masaa zaidi ya 8 wamenenepa na wanaafya binafsi najivunia kuwa kijijini mwaka jana mwezi wa kwanza nliwanunua na kila mwaka kondoo anazaa mara 3 hvyo nakondoo 350 wenye umri wa miezi 6.


MAVUNO: nategemea mwezi wa 6 niuze kondoo 300 kwa sh 50000 au zaidi kwa kila kondoo mmoja kwa sababu wamekuwa wakubwa wakuchinja. tegemeo c chini ya m13 naweza pata nikiwa hapahapa kijijini kwangu...


*kijijini kutamu sana nikiamua kuchinja kondoo na kumtafuna mimi na mke wangu kila wiki naweza kwa sababu itanigharimu kondoo 48 tu kwa mwaka mzima nataka nini tena hapa duniani

*nkishika kondoo 50 napata ada tamu sana ya "mwanangu wa magali ya njano" huku napiga inshu zngne kitaa za kifedha dogo asome asisome mtaji kila weekend anauchunga porini.

mwezi wa 6 natimiza miaka 25 mpaka niongeze mke mwingine wa pili ninauwezo mkubwa wa kulea family pia nataka nguvu kazi niongezee
Daaah!! Itoshe tu kusema hongera ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True
Plan yako ni nzuri sana, hata mimi nipo huku Dar lkn nimejiwekea time frame nikifikisha miaka 45 narudi nyumbani mkoani. Nimeshaanza maandalizi ya kujenga kibanda huko mkoani ili nikirudi nifikie kwangu. Maisha kwenye big city ni magumu sana, living expenses zipo juu sana tofauti na mikoa mingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom