CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
crack the code = to figure out how to do something (often something difficult)
Tukutane hapa tupige stori stori leo wik endi mazee.
Muhimu: Sio lazima uweke full details ya code zako, naelewa code zingine ni hatma ya maisha yako. Ila tupige tu stori kwa wanaoelewa huu Uzi.
Iliwahi kunitokea mara kibao sana nika crack codes kadhaa, zingine zilikuwa amazing na zingine zilikuwa za kipuuzi sana.
Tuendeleze stori
Tukutane hapa tupige stori stori leo wik endi mazee.
Muhimu: Sio lazima uweke full details ya code zako, naelewa code zingine ni hatma ya maisha yako. Ila tupige tu stori kwa wanaoelewa huu Uzi.
Iliwahi kunitokea mara kibao sana nika crack codes kadhaa, zingine zilikuwa amazing na zingine zilikuwa za kipuuzi sana.
Tuendeleze stori