Usishangae Sana wachawi mtaani wengi Sana,hupotosha pia.Huzuni sana ila jambo lisikie kwa mwenzako ila usiwaamini sana madaktari vyeti vyenyewe vya kufojifoji, mm niliambiwa na uvimbe na wala sina uvimbe hata hizo dalili za uvimbe sina kumbe lilikuwa tatizo lingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha mtoto wa kuadopt na mtoto wako mwenyewe kibaiolojia.Hilo sio tatizo,kama unakipato unaweza kulea mtoto asiyekuwa na wazazi na ukamfanya kuwa wako.tatizo ni kupata gonjwa lililoshindikana.
Kuwa na imani...raundi itakayofuatia mambo yatajipa!Daaaaaa.....shemeji yenu alibahatika kupata ujauzito lakin ndan ya miezi miwili na nusu ikaharibika...na apo baada ya kusota miaka 4 bila majibu.
Acha kujinenea maneno yasiyofaa mwishowe utajilaani mwenyewe!!!Yaaan....waswahili wanasema ng'ombe wa masikini hazai.
Amen.Kuwa na imani...raundi itakayofuatia mambo yatajipa!
Kuwa na imani...raundi itakayofuatia mambo yatajipa!
hospital gani?Huzuni sana ila jambo lisikie kwa mwenzako ila usiwaamini sana madaktari vyeti vyenyewe vya kufojifoji, mm niliambiwa na uvimbe na wala sina uvimbe hata hizo dalili za uvimbe sina kumbe lilikuwa tatizo lingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapata mtoto kwa shida unakuja kumwita KairoYeah ni kweli kuwa maisha yako yote huwezi shika mimba naturaly unless upandikizwe,na happy anakuambia alishawahi pandikiza embryo ikafa. Sema akapandikiza tena ndo akampata Kairo.
Wanaume wengi wa Dar wanalea watoto wa Dr Mwaka
Labda lina maana yake kwakeUnapata mtoto kwa shida unakuja kumwita Kairo
Ndo maana tunalaanika
Comment nzuri. Ukikutwa na hilo tatizo sio mwisho wa maisha. Kama unaamini kuwa na watoto ndio kila kitu waweza kuasili. Ila hata hao walio na watoto bado hawanaridhika na maisha bado wanahisi something is still missing. Kwahiyo ndugu mambo yote ni ubatili hapa duniani ni kama kujilisha upepo. Ukipata hiki unasema hiki bado.Ni kweli,sasa ndio umekutwa na hilo tatizo, utafanyaje?utajiua,au utaendelea kusononeka ili upate magonjwa ya moyo?