Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Usimdharau ukajiona Wewe Ni Bora ..huyo Mungu aliona wengine watapata watoto kwa njia hiyo...Mungu ndo kawapa Karama hii binadamu ya kuweza kutatua matatizo ya Watu..Tofauti ipo bwana,mtoto wa testtube na mtoto anaepatikana kwa natural ya Mungu alivyoumba.
Usijione uko Bora zaidi kwa kuzaa natural eti wengine hawakufaaa...lahasha.
.Wewe umebeba miez Tisa na yeye amebeba miezi Tisa..WOTE NI WATOTO...Tena wahuyu anaweza kuwa mtoto Bora kuliko huyo wako wa natural.